Tanzania ina tatizo la skilled laborsMimi huwa nawaza jinsi tunavyoweza kuwatumia Wapakistani kujenga viwanda vyetu vidogo. Huwa naona wana viwanda ambavyo havifiki thamani hata ya TZS 200M ila wana skills kubwa na uzoefu. Sema wanafanya kazi mazingira magumu sana
Nilishwahi kuweka uzi w akuwapongeza serikali kwa kupiga kodi 500% kwa bidhaa za fenicha toka China, kwa sasa Workshop na viwanda vya vitanda, masofa nk. vya mbao na vya chuma vimetapakaa kila kona ya Tz, vijana wengi mno mno mno wamepata ajira kwenye sekta hiyo moja tu, imagine wangefanya hivyo kwa sekta zingineViwanda vidogo vidogo unaweza anzisha hata wewe tatizo ni kushindana na wachina.
Utatengeneza ili uuze kwa 50,000 ila mchina atauza kwa 45,000 ubora mbovu ila Mtz ataona bora hiyo
VP kuhusu Bei zao na logistics nyingineWakuu,
Pakistan hua hatuitaji kibiashara wala hata bidha zao hatuzitaji lakini kiuhakika jamaa kwa viwanda vidogo na vikubwa nao sio haba
Bidhaa zao nyingi ni bora na za kiwango cha juu hivo ni muhimu sana kuelekeza macho nchi nyingine kama hizo,
Nadhani tusiendelee kukariri sehemu ya kuchukua bidhaa
Hao jamaa hawana promo lakini siku watu wengi wakistuka watajua kumbe wanapoteza muda kwingine na machimbo bora yako pakistan, tusiwachukulie poa jamaa wako vizuri
Kweli ila bado wenye uwezo wananunua vya nje sababu kubwa ikiwa ni ubora wa utengenezaji.Nilishwahi kuweka uzi w akuwapongeza serikali kwa kupiga kodi 500% kwa bidhaa za fenicha toka China, kwa sasa Workshop na viwanda vya vitanda, masofa nk. vya mbao na vya chuma vimetapakaa kila kona ya Tz, vijana wengi mno mno mno wamepata ajira kwenye sekta hiyo moja tu, imagine wangefanya hivyo kwa sekta zingine
Ni sawa, ila ni wachache sana, kwa sasa sofa hizo wanazoagiza nje gharama yake inafika hadi milioni nane kwa sofa set moja, wakati mwanzo ilikuwa milioni 3, kwahiyo imesaidia sana kwa ajira za ndaniKweli ila bado wenye uwezo wananunua vya nje sababu kubwa ikiwa ni ubora wa utengenezaji.
Bidhaa za siku hizi hazihitaji pure wood bali MDF, Plywood.
Kuna miaka fulani nilikuwa Tehran
Enzi za ubaharia,aise jamaa wana vitu
Vizuri sana nao
Ova
Ni kweliTanzania ina tatizo la skilled labors
Ila watu wananunua sababu ya ubora.Ni sawa, ila ni wachache sana, kwa sasa sofa hizo wanazoagiza nje gharama yake inafika hadi milioni nane kwa sofa set moja, wakati mwanzo ilikuwa milioni 3, kwahiyo imesaidia sana kwa ajira za ndani
Kama umeshindwa kujua tofauti ya aLovera na aRovera utajua bidhaa nzuri kweli?Wakuu,
Pakistan hua hatuitaji kibiashara wala hata bidha zao hatuzitaji lakini kiuhakika jamaa kwa viwanda vidogo na vikubwa nao sio haba
Bidhaa zao nyingi ni bora na za kiwango cha juu hivo ni muhimu sana kuelekeza macho nchi nyingine kama hizo,
Nadhani tusiendelee kukariri sehemu ya kuchukua bidhaa
Hao jamaa hawana promo lakini siku watu wengi wakistuka watajua kumbe wanapoteza muda kwingine na machimbo bora yako pakistan, tusiwachukulie poa jamaa wako vizuri
Kama umeshindwa kujua tofauti ya aLovera na aRovera utajua bidhaa nzuri kweli?
Sasa hiki ndio nini umeandika [emoji706][emoji706]Kama umeshindwa kujua tofauti ya aLovera na aRovera utajua bidhaa nzuri kweli?
Kama umeshindwa kujua tofauti ya aLovera na aRovera utajua bidhaa nzuri kweli?
Sasa hiki ndio nini umeandika [emoji706][emoji706]
Nadhani wameshindwa kujitangaza zaidi kupata wateja
Pakistan pia wana import toka china.Ila pia wana bidhaa nzuri hasa za nguo nguo ila bei imechangamka kidogo.Halafu security kule inakera kidogo.pia viwanda vidogovidogo vinatoa vitu interesting hasa vile vya artwork kama mapambo.Wakuu,
Pakistan hua hatuitaji kibiashara wala hata bidha zao hatuzitaji lakini kiuhakika jamaa kwa viwanda vidogo na vikubwa nao sio haba
Bidhaa zao nyingi ni bora na za kiwango cha juu hivo ni muhimu sana kuelekeza macho nchi nyingine kama hizo,
Nadhani tusiendelee kukariri sehemu ya kuchukua bidhaa
Hao jamaa hawana promo lakini siku watu wengi wakistuka watajua kumbe wanapoteza muda kwingine na machimbo bora yako pakistan, tusiwachukulie poa jamaa wako vizuri