Pale binti anapoyachezea maisha na kuja kujuta mwishoni

Swali gumu,, ngoja wahusika waje wajibu aloooh
 
Kwa mara ya kwanza Kungwi Feminist Jadda ka-surender hoja ya Kiume juu ya tabia mbovu za Ke kimahusiano tangu dunia iumbwe.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Ukweli ni kwamba hao wanawake waliopitia mengi huwa wanathamini sana ndoa zao, wanakuwa makini sana, walishajifunza mengi na wamepitia mengi.


Wanakuwa wanaelewa thamani ya ndoa, na wanaelewa maisha kwa mapana zaidi.

Sio wote lakini.
 
Sikio la kufa huyo
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Siku hizi kuna watu wamepinda!!

Nazipenda nyakati ninazoishi!

Huu ni ukweli! hatuwataki watu kibao tu kwahiyo wapunguze kujipa umuhimu!
Average Joeโ€™s wanajidanganya sana..
Because they are arrogant Jack asses. They see themselves as a womanโ€™s savior from being an old maid. This isnโ€™t 1900 itโ€™s the 21 st century. Women donโ€™t need โ€œsavedโ€. Or to be married. We can make our own choices.. hey niggaz msijipe umuhimu..
 
Hili andiko ni reality ya maisha Kwa mwanamke na mwanaume kwenye mahusiano, ata mm nilipoteza pisi Kali za maana, zilitak nizioe kipind mbichi, nilikua nawapotezea tu muda ila now Nina wife mcharuko ila napambana aisee๐Ÿ˜„
Uwongo...Ke wanatumia dawa kubana mabwawa mtera, nawe Me unatumia dawa kukuza kiba100?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Mleta mada hakusema kama wanaume ni waokozi wa wanawake.
Ushadhihirisha hurka yenu ya ujuaji mwingi.
Mleta mada amezungumzia wanawake wa aina ambayo ametaka kuzungumzia.
Na ni kweli wanawake wa aina hiyo wapo katika jamii.
Kama wewe unafurahi kuwa single unajimudu kuna wenzako hawafurahii maisha ya upweke na wanahitaji wenza wa kufurahi nao katika maisha.
Usiseme mnajimudu wote sema wewe na wanawake mnaofanana kihurka ndio mnajimudu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ