Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Mbona wengi tunaish nao,sema wa kwangu ni muwaz alinipa mastory yote ya mapito yakeππππDaah we kweli wagumu tunadumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wengi tunaish nao,sema wa kwangu ni muwaz alinipa mastory yote ya mapito yakeππππDaah we kweli wagumu tunadumu.
Ushaanza kuogopa ππππ.No thank yuuuuuu πππ
ππΎππΎπππππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈUshaanza kuogopa ππππ.
Uoga muda mwingine unawakosesha vingi.
Yeah ndio maana nikasema kila mtu na mtuwe haijalishi yukoje na kapitia nini.Mbona wengi tunaish nao,sema wa kwangu ni muwaz alinipa mastory yote ya mapito yake
Khaah,,hii kambaYeah ndio maana nikasema kila mtu na mtuwe haijalishi yukoje na kapitia nini.
Mbona mimi mwezi wa 7 nimeoa mke wa pili alonizidi miaka 12 na ana watoto wawili!??
Ni Wewe mwenye dp yako you hold that bird? πKhaah,,hii kamba
Wallahi dini yangu uislam.Khaah,,hii kamba
Sijui kwa nini hii sehemu imenihuzunisha sana ππKatika awamu hii ya maisha yake, anakumbuka maisha yake ya zamani na kugundua kuwa aliishi maisha yasiyo na maana na amefanya mistake kubwa sana maishani.
Yes sirNi Wewe mwenye dp yako you hold that bird? π
Okay, Mr gutter rat so hapo ni vibuyu v/s vibungo?Mleta mada hakusema kama wanaume ni waokozi wa wanawake.
Ushadhihirisha hurka yenu ya ujuaji mwingi.
Mleta mada amezungumzia wanawake wa aina ambayo ametaka kuzungumzia.
Na ni kweli wanawake wa aina hiyo wapo katika jamii.
Kama wewe unafurahi kuwa single unajimudu kuna wenzako hawafurahii maisha ya upweke na wanahitaji wenza wa kufurahi nao katika maisha.
Usiseme mnajimudu wote sema wewe na wanawake mnaofanana kihurka ndio mnajimudu.
Duuuh sjui niendelee kukushangaa au nkupe hongera ππΎππΎππΎWallahi dini yangu uislam.
Mwezi wa 7 mwaka huu Morogoro nimeoa mke wa pili, ana miaka 42 toa 12 unapata miaka yangu.
Na ana watoto wawili.
Lakini si wewe mwenyewe umesema unapitia hali hiyo mkuu?Msemaji wa maisha yangu sasa
hua nakuangalia tu
Mr perfect
haihusiani na ulicho comment wewe,,na hua naona ukinisakama,afu sina noma nawewe na wala sitaki,,wewe kosoa uwezavyo usinihusishe,,huku ndani na comment nachojiskia,,,chuki zako sizitaki.Lakini si wewe mwenyewe umesema unapitia hali hiyo mkuu?
I love bird π nikiona mtu anarusha jiwe au kunguru kaiba kinda roho inauma π€£Yes sir
Oyaa Kosugi naona wamama wa JF wamekuwa wakali, hiyo sio shida yetu ni nyie wenyewe mliuchezea usichana wenuhaihusiani na ulicho comment wewe,,na hua naona ukinisakama,afu sina noma nawewe na wala sitaki,,wewe kosoa uwezavyo usinihusishe,,huku ndani na comment nachojiskia,,,chuki zako sizitaki.
Hahahaha,,kalikosea njia kakatua kwenye mguu wangu,sasa lile wenge kakashindwa kuruka,nikashika na kuinjoi nako kwa mda then nkaacha kaende,, siwezi ogopa ndege wazuri ivoππI love bird π nikiona mtu anarusha jiwe au kunguru kaiba kinda roho inauma π€£
Alidondoka wapi ukampata? Inaoneka huogopi ndefe na jamii yake
Kweli kabisaNafikiri ni kuathiriwa na malezi na familia hakuna sabbu kulaumu waliopitia hayo Bali tunaotarajia kuwa wazazi tujikite Kujifunza malezi kuja kuwa wamama wazuri na wababa wazuri Kwa kizazi kinachokuja bila hivo hiv nyuzi zitatusuta nafs tutapopata mabinti wa ovyo ambao tulipoteza muda kuwananga tukaacha Kujifunza kuwa walezi wazuri π