Pale Bungeni simuoni Mbunge wa kuichambua ripoti ya CAG baada ya kukosekana Zitto Kabwe na wabunge wa CHADEMA

Wabunge wenu akina Babu Tale🤣🤣🤣plus vilaza akina Msukuma
 
Kuna Mbunge CCM aliyechaguliwa na wananchi?? Sidhani. Kama wapo hawazidi 50%
 
Hizi dharau ni kubwa sana na kulikosea heshima Bunge zima kuwa hakuna watu wenye weledi wa kuchambua mambo. ila sikushangai maana mmerithishwa na Mbelgiji mmoja ambaye anajiona katika nchii hii yeye ndo mtaalamu wa Sheria zote
 
Hizi dharau ni kubwa sana na kulikosea heshima Bunge zima kuwa hakuna watu wenye weledi wa kuchambua mambo. ila sikushangai maana mmerithishwa na Mbelgiji mmoja ambaye anajiona katika nchii hii yeye ndo mtaalamu wa Sheria zote
Kumbuka mleta mada ni kijani mwenzenu
 
Hivi mama tumbili yupo miongoni mwa covid 19?
 
Bajeti inakwenda kutekeleza ilani sasa ulitaka watukane au? Hizi stress za maisha na kukosa nafasi za uongozi katika chama na serikali zinatupeleka kubaya.
 
ACHA DHARAU MKUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…