Pale Bungeni simuoni Mbunge wa kuichambua ripoti ya CAG baada ya kukosekana Zitto Kabwe na wabunge wa CHADEMA

Pale Bungeni simuoni Mbunge wa kuichambua ripoti ya CAG baada ya kukosekana Zitto Kabwe na wabunge wa CHADEMA

Mkuu kwa hiyo Marehemu alituingiza chaka[emoji16]...

Mende zimeanza kutoka kabatini..


Ila usijali pole pole yupo atatusaidia,kuichambua kama ilivyokua kwenye ile 1.5trilioniView attachment 1737036
Huyu nilimfuta kabisa baada ya;
  • Msigwa kumtaja alihitaji uroda kwa baadhi ya watendaji wake
  • Aliwasaliti akina Mzee Warioba na wengineo wa BMK
  • Kujivunia V8 za chama badala ya kufikiria maisha ya watanzania masikini
 
Wachambuz watapatikana wengnehhatakabla ya hao walikuwepo wengine na walipita
Halafu hawana ubora wowote kama walishindwa mtihan mdogo wa kurud tena bungen
 
Mnyika,mbowe ,lema ,sugu n.k...wa weledi gani wa kuchambua ripoti ya CAG
Tukiweka itikadi pembeni, kiukweli pale bungeni simuoni mtu mwenye uwezo wa kuichambua ripoti ya CAG kama walivyokuwa Zitto Kabwe, J J Mnyika, James Mbatia na Tundu Lissu.

Kuwa mwanasiasa mzuri ni jambo moja lakini kuwa mwanasiasa " mahiri" ni jambo lingine kabisa.

Hao niliowataja unapofika wakati wa uchambuzi wa maswala ya kitaalamu iwe uchumi, sheria au fedha huwa na udadisi wa kitaaluma siyo kishabiki.

Ripoti ya CAG iliyowasilishwa kwa mh Rais Samia leo inahitaji hoja nyingi za kibobezi/ kidadisi lakini sidhani kama akina Babu Tale na Nusrat Henje wana viwango hivyo.

Itoshe tu kusema wabunge wengi wa sasa wana uwezo mdogo na ujasiri hafifu wa kujenga hoja.
 
Tukiweka itikadi pembeni, kiukweli pale bungeni simuoni mtu mwenye uwezo wa kuichambua ripoti ya CAG kama walivyokuwa Zitto Kabwe, J J Mnyika, James Mbatia na Tundu Lissu.

Kuwa mwanasiasa mzuri ni jambo moja lakini kuwa mwanasiasa " mahiri" ni jambo lingine kabisa.

Hao niliowataja unapofika wakati wa uchambuzi wa maswala ya kitaalamu iwe uchumi, sheria au fedha huwa na udadisi wa kitaaluma siyo kishabiki.

Ripoti ya CAG iliyowasilishwa kwa mh Rais Samia leo inahitaji hoja nyingi za kibobezi/ kidadisi lakini sidhani kama akina Babu Tale na Nusrat Henje wana viwango hivyo.

Itoshe tu kusema wabunge wengi wa sasa wana uwezo mdogo na ujasiri hafifu wa kujenga hoja.

Sasa hivi hakuna mtu mwenye akili timamu anafuatilia bunge. Bunge la kweli liko huku mitandaoni, huko bungeni waendelee kula posho kisheria, lakini hamna mtu muelewa anafuatilia hayo majizi ya kura.
 
Hahaa wanamuonea kwel mluguru mwenzngu
Alaf Mbona Babu Tale anakua mfano kwenye mambo mengi ya msingi yahusuyo bunge?[emoji23][emoji23][emoji23] Kama jimboni kwake wapo watu wa design yake mlitakaje?[emoji23][emoji23][emoji23]

Anyway This time anaweza toa hoja moja amazing na hamtaamin masikioni mwenu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uchaguzi ulipita mmeteka watu, mmebambikizia watu mikesi kesi ya kumbuba bumba, mmeiba kura haya sasa pambaneni na hali yenu!!

Si mlitaka muwe wenyewe tu kwa 100%
 
Unataka kusema wananchi waliowachagua wabunge wao kwa kishindo cha asilimia 90 ni wajinga?
Wananchi hao siyo wajinga, na wala hawajawahi kuwa wajinga. Wananchi walichagua wabunge wanaofaa kuwa wabunge,walitimiza wajibu wao. Lakini wanaoamua nani ashinde/atangazwe mshindi siyo hao wananchi. Kumbuka Mbowe aliambiwa na OCD "huwezi kushinda wewe hata ufanye nini"!. Kwa hiyo ule ulikuwa siyo ushindi wa kishindo bali wizi wa kishindo.
 
Tukiweka itikadi pembeni, kiukweli pale bungeni simuoni mtu mwenye uwezo wa kuichambua ripoti ya CAG kama walivyokuwa Zitto Kabwe, J J Mnyika, James Mbatia na Tundu Lissu.

Kuwa mwanasiasa mzuri ni jambo moja lakini kuwa mwanasiasa " mahiri" ni jambo lingine kabisa.

Hao niliowataja unapofika wakati wa uchambuzi wa maswala ya kitaalamu iwe uchumi, sheria au fedha huwa na udadisi wa kitaaluma siyo kishabiki.

Ripoti ya CAG iliyowasilishwa kwa mh Rais Samia leo inahitaji hoja nyingi za kibobezi/ kidadisi lakini sidhani kama akina Babu Tale na Nusrat Henje wana viwango hivyo.

Itoshe tu kusema wabunge wengi wa sasa wana uwezo mdogo na ujasiri hafifu wa kujenga hoja.
Hata siamini kuwa ni wewe johnthebaptist!
Ukiweka unafiki pembeni, kumbe uko njema kichwani.
 
Tukiweka itikadi pembeni, kiukweli pale bungeni simuoni mtu mwenye uwezo wa kuichambua ripoti ya CAG kama walivyokuwa Zitto Kabwe, J J Mnyika, James Mbatia na Tundu Lissu.

Kuwa mwanasiasa mzuri ni jambo moja lakini kuwa mwanasiasa " mahiri" ni jambo lingine kabisa.

Hao niliowataja unapofika wakati wa uchambuzi wa maswala ya kitaalamu iwe uchumi, sheria au fedha huwa na udadisi wa kitaaluma siyo kishabiki.

Ripoti ya CAG iliyowasilishwa kwa mh Rais Samia leo inahitaji hoja nyingi za kibobezi/ kidadisi lakini sidhani kama akina Babu Tale na Nusrat Henje wana viwango hivyo.

Itoshe tu kusema wabunge wengi wa sasa wana uwezo mdogo na ujasiri hafifu wa kujenga hoja.
Lakini mlishangilia sana walipoporwa ushindi wao
 
Back
Top Bottom