Pale dunia inapofumbwa kwa yale yanotokea nchini Sudan

Kunukuu na kuweka hapa bila "acknowledgement" ya chanzo ni "plagiarism".

Mimi huwa nafanya "acknowledgement" ya vyanzo vyangu.

Ndo maana nimeweka chanzo cha uchambuzi wangu.
Mimi siongelei acknowledge, mimi nimekutaka u- summerize ulichokikopi na kukiweka hapa.

Unaweza kunikuta nasikiliza wimbo(Ayoko na so Mundo) ukaupenda kwa melodi yake japo uuelewi hivi, ukaniomba ni summerize huo wimbo na nikafanya hivyo at the end nikatoa acknowledge kwa Tina Mbah.

So, we ku- summerize hakukuondolei nafasi ya kutoa acknowledge kwa sosi yako.
 
Mzee mbona povu
 
 
Bwawa jipya la Ethiopia Limejenwa Kwa 4.0 Billion US$ au Euro 3.6 billion sawa na zaidi ya Tsh. 9 Trillion na hiyo Ndege F15 Inauzwa sh. 150 million US$ sawa na tsh around 350 Billion Kwa hiyo pamoja na mahaba yenu Kwa US mkisha maliza stori zenu za vijiweni muwe mnatafiti kidogo taarifa zenu kabla ya kuzileta JF.
 
Hapo ni vita Kati ya vikosi vya jeshi la serikali na vikosi vya janjaweed. Waache wamalizane kabisa wakishamalizana amani itarejea. Nao waonje utamu wa kuuwana kama malipizi ya kuwaua wasudani kusini.
 
Kupigana ni tabia za wanyama walioshiba wao wameshiba thus Acha wamalizane tu.
 
IQ yako inaonekana kidogo imekomaa hasa kwa jinsi unavyodadavua haya mambo, naweza kusema nimejifunza vitu vingi kutoka kwako kupitia hii mada maana nimefuatilia kila nukta ya andishi lako kwenye hii thread.., naomba tu nikuulize kitu kimoja.., unaposema kwamba hii vita ya Sudani ni mgogoro wa wasudani wenyewe waliojitengenezea wao kwa muda mrefu..., wakati huohuo unadai misri inatuma silaha kwa majeshi ya serikali..,na urusi inawahami RSF, huoni kwamba ni kama unajikanyaga?

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Duh! [emoji28]

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 

Vita ya Sudan ni Civil War na si Proxy War kama majeniasi wa Jf wanavyojaribu kueleza Hapa but kuwa civil war hiyo haiondoi fact kuwa Urusi kupitia Wagner ndiye supplier mkuu wa silaha kwa RPS.

Hapo Sudan inakiwanda cha kutengeneza silaha ndogo ndogo(sijui kimethibitiwa na upande gani kati hao mahasimu wawili) but bado silaha za kutoka nje ndiyo zinaplay part kubwa kwenye hii vita.

Wakati Nigeria Civil War Misri iliipatia Mig kadhaa jeshi la Nigeria ili kuwakabili askari wa Biafra na si Misri tu, bali Uingereza na Soviet Union walijiweka upande wa jeshi la Nigeria wakati Israel na ufaransa wakiisaidia Biafra but hiyo haikufanya/haifanyi Ile vita isiwe vita ya wenyewe kwa wenyewe.
So, Urusi na Misri haifanyi vita ya sudan kuwa Proxy war.
 
Fanya hivi.. Thamani ya bwawa Ethiopia ni Dola T 60.. Sasa kuniumiza vipi Marekani Ethiopia kuwa na bwawa la Dola T 60?.
 
ww ni mpumbavu hata ujui unacho kiongolea, kaa pembeni mrusi uache wenye akili wachambue hili ok
 
Malighafi za Ukraine zinatakiwa na nani? Urusi au USA? Au wote lao moja wanatuzuga tu?
 
Hapo ni vita Kati ya vikosi vya jeshi la serikali na vikosi vya janjaweed. Waache wamalizane kabisa wakishamalizana amani itarejea. Nao waonje utamu wa kuuwana kama malipizi ya kuwaua wasudani kusini.

Usifikiri vita hiyo itawaathiri waSudani peke yao , hiyo vita inaweza hata kutuathiri na sisi huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…