Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,876
- 2,190
yani Lara 1 nimekudharau mpaka kinyaa!! Yani umeanza na kutunga uongo kabisa.. mpuuzi kabisa!!! Voda watoe bango usiku eti kwasababu ya Lara [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Next tym unapochukua hela za watu kufanya dirty work jipime ubavu kwanza!! Sasa unaishia kujitekenya na kucheka mwenyewe.. wewe ligi ndogo sana bado! Umaarufu wako ni zile post zako za kuuza k, Ila kuhusu mipango ya mjini utasubiri sana
eti alibakwa ningelikuwa hyo dj na mimi ningeenda shtaki ndo alinibaka alipe hii damage
mtu ulale na mie kitanda kimoja asubuhi useme ulibakwa?
NDO PA KUUTUPIA TENA VIZURI KATIKA HII HII THREAD VODA WAMEIONA WEKA WAZI KAMA LINK HIZI N.KUpo unamiminikaaaa. YANI UPO WA KUTOSHA.
yule msichana si alisema walilala nyumbani kwake? tena kitandani kwake? so alibakwaje ?
au sijui maana ya ubakaji
alimchukua kitandani kwake kama nani?
kama victim hajaongea kumsitiri kama unavodai wewe unaongea kama nani ulikuwepo?HAHAHAAAAAAA! THE GENDER STIGMA IS REAL! Kwa hio kukukaribisha kwangu ndo unitatue marindaaa? Uniwekee madawa utatue marinda yote nikae tu kimya? Thubutuuuuuuu!
aLIKARIBISHWA AKAMUWEKEA MWENZIE DAWA NA KUMBAKA SASA AMBAVO HUYO VICTIM KASITIRI JIONGEZE WEWE MTU MZIMA.
amekimbia wapi mbona yupo pa siku zote? umemfata ukamkosa?SASA KWANINI UNAKIMBIA UNAKUWA FUGITIVE? HAHAHAAA! Ungeenda hata kusema hukubaka ilikuwa a,b,c ila hudhubutuuu. your guilty wont allow you.
kama victim hajaongea kumsitiri kama unavodai wewe unaongea kama nani ulikuwepo?
eti walikubaliana bao moja jamaa akapiga bao mbili ndo ubakaji...eheheeee we mchawi sana ujue
Utakua na interest tigo or co company nyngnge ya mawasiliano nje ya Voda.
Kwa nini usijikite kwenye sheria zaidi ili tuone kweli unatetea wanawake badala yake unang'ang'ania endorsement?
kakimbia sweden kaenda wapi? before alikuwa anaishi wapi?kakimbia sweeden na his RB IS OUT AND VALID. Kumbe you have NO CLUE?