Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,633
Na MEDIA TAKE OUT. Relax and watch. Na simnanijua kwa propaganda, na kule siendi for Dimond who is dimond? naenda for Voda na endrsement yao na mibango ya na RB. Yaani sumu nitayoipika media takeout na TMZ hawatakua na ujunja in no time itaenda Daily mail Uk, ETC. PR is my thing.
He he he he,
Nimecheka sana hii mada,
Mtoa mada aliwahi kumshauri Wema atoe mimba aendelee kuwa maarufu....
Ha ha ha ha eti ataenda TMZ!....!!
Baada ya kusoma robo ya habari, nikalazimika kuangalia vizuri hii thread ni ya lini ingawaje hapo kabla nilishaangalia!
Nikaendelea kusoma na nilipofika nusu nikalazimika kuiangalia thread kwa mara nyingine nione ni ya lini!
Haikutokea kwa bahati mbaya; nilikuwa najiuliza kulikoni habari ya ubakaji wa Rommy inatawala history ya sexual abuse ya Diamond!!
Au ni kwamba hii thread uliiandika kitambo ukawa unasubiri scandal ya Diamond kunyanyasa wanawake lakini ulipoona hiyo scandal haiji ukalazimika kui-update kwa kutumia issue ya Rommy hapo juu na chini ukawaweka akina Redgold?!
Am I missing something here? Any help from anyone!
Yaani kabisa kampuni kama Voda ianze kutetea haki za wanawake tena eti Sema Sepetu, Jokate, ….... serious?STILL HAUMSAFISHA DAI KWA KUNI DISCREDIT MIMI.
Na natoa wito mapemaaa kama nilivosema internent never forgets siku nikiwa endorsed hata na mjumbe wa nyumba kumi, MAKE SURE POST ZANGU ZOTE ZA NYUMA NA ZIJAZO IM NOT DONE POSTING SHIT IN HERE, MZIFIKISHE HUKO.
For now till nikiwa endorsed VODA WALIBUGI VIKUBWA NA SASA NDO TUNAANGALIA WATACHUKUA HATUA GANI.
Stop this bana. It's embarrassing. TMZ..? Daily mail..? JF inasomwa na watu wengi wenye akili zao timamu ujue?!
You have your ride or die fans, and they love you to death. Just stick to those stories/myths.
Heading imehaririwa, amerudia makosa hayo hata kwenye insha nzima, mimi nimekosea kwa typing error tu.Lugha ya malkia hii ni shida. Heading ya Lara 1 (Endorse) iko sahihi. Wewe umeikosea halafu tena ukapendekeza kosa vile vile. Endose ndiyo nini mkuu? Tukomaeni tu na Kiswahili chetu wapendwa. Hili lilugha la watu hili lilishatushinda!
STILL HAUMSAFISHA DAI KWA KUNI DISCREDIT MIMI.
Na natoa wito mapemaaa kama nilivosema internet never forgets siku nikiwa endorsed hata na mjumbe wa nyumba kumi, MAKE SURE POST ZANGU ZOTE ZA NYUMA NA ZIJAZO I'M NOT DONE POSTING SHIT IN HERE, MZIFIKISHE HUKO.
For now till nikiwa endorsed VODA WALIBUGI VIKUBWA NA SASA NDO TUNAANGALIA WATACHUKUA HATUA GANI.
Narudia tena Lara 1 acha majungu, kwenye show wanawake wanavyokuwa uchi na wanakata mauno hamuwaoni na TAMWA yako kuwa wanawadharilisha wanawake wanaojiheshimu kwa kuwa tu wanakula mpunga?, think critically acha kutafuta kiki zako za kijinga
Acha kutafuta hela kupitia migongo ya Watu, umesifia kuchuna weeee umeona papuchi inababuka tu huna unachokipata, sasa naona umekuja na fiksi zingine za eti usawa,hivi chukulia hata wewe leo Diomond akutokee akute papuchi inapwaya hatari hadi imeota sugu unategemea CHIBU asikupe kichapo?We will see. I have been in this PR game long enough. How about we watch and see.
Mleta Uzi ulikuwa wapi kuwatetea wale Wabunge Wanawake wa Upinzani waliotolewa Bungeni na Askari wa Kiume mpaka wakakatiwa Shanga zao au kwa vile unajinadi UVCCM 2017 ndio maana ulikaa kimya?
Kwani uongo.Ikipita nusu saa hujaambiwa we ni team Kiba nitafute jioni nikupe zawadi yako