Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda

Hivi ni nani yule ambae aliamua kuweka ndani kabisa baada ya kumvunjia kioo cha gari? Was Marehemu Kanumba, or?

Mwisho wa siku na yeye akapga chini.... Kila siku huwa nasema kuna wanawake ambao ni wakuolewa na wengine ni wakuona wenzao wakiolewa. .. Sasa mleta uzi anatuletea story za wanawake wa kushuhudia wenzao wakiolewa....

Hawa ni wakupiga mambo na kutema tu....
 
Si ungeuliza swali tu moja kwa moja?

Wala haikua na haja ya Ku quote Uzi wote


na ww kwa nn usingandika kivyajo kwa nn uni quote


ila lara 1 hana kinyongo wala roho yako kisha nijibu over.
 
Mimi mteja wa hio vodacon nimeona na LINE NISHA FLUSH CHOONI kitambo sasa wateja hatuoni vipi sasa? Kama mteja nimeongea hapa.
Nilikusudia mashabiki na wateja wa Diamond sio wa Vodacom. Technically, Vodacom pia ni mteja wa Diamond.
 
Kwa nini unaanza kujinadi mapema kwamba 2017 UVCCM na unakana pasi na shaka siasa sio mchezo wako?

Siasa sio my area of expertise that is fact. Kwanini nijifanye najua siasa wakati sina interest kabisaaa. Siasa ni interest ya mtu na mimi sio interest yangu wala sina habari nayo kabisaa unless ni mambo yanayotugusa wanachi moja kwa moja ila mambo yao ya vyamaa walaaa sipo huko kabisaaa. Hata uniulize kuna vyama vingapi nchini sijui. SO FOR PILITICAL ISSUES YOU ARE BACKING THE WRONG TREE.
 
Faida zipi?
 
Lara 1 sijui leo umeamkia upande gani? sijawai ona thread ya kijinga kiasi iki.Nyie wanawake ndio mnaongoza kwa kujidhalilisha na kujipaka mavi, badilikeni kwanza mkiweza ndio muanze kupambana na huo unao uita udhalilishaji.
 

This is bad, man. I wouldn't wish such self embarrassment even to the sucker who'd steal the woman I love, and gimme a hard kick to the guts, while at it.
 
Nilikusudia mashabiki na wateja wa Diamond sio wa Vodacom. Technically, Vodacom pia ni mteja wa Diamond.
Na mimi ni mteja wa VODACOM.
 

Lara1, watu hawajui haki zao. Hao aliow-abuse wakienda mahakamani anafilisika huyo! Waamshe wajue haki zao! Watafutie kesi mbali mbali za commonwealth waone watu walivyolipwa billions on such issues!
 
PILITICAL=POLITICAL.
 
Na mimi ni mteja wa VODACOM.
Hiyo ni sawa na kutupa line yao pia ni sawa kama hawafanyi kwa mujibu wa matarajio yako. Maswali yangu yalilikuwa ni nini sababu ya umaarufu wa Diamond? Je mashabiki na wateja (wengine ukiacha Vodacom) wa Diamond hawaoni haya "mabaya" uliyoyasema? Kwa nini anazidi kuwa maarufu pamoja na mabaya yote hayo?
 
Tatizo ni kwamba unatupa tabu tunaotumia cm bana



mi nahusika vp na simu yako si ununue yenye uwezo yani unataka kunipangia hata namna ya kutumia hii kitu,,,,, we veeepeeee
 
This is bad, man. I wouldn't wish such self embarrassment even to the sucker who'd steal the woman I love, and gimme a hard kick to the guts, while at it.

MediaFakeOut and seriousness are oxymorons.

And taking a supposedly serious issue to a bottom of the rung black celebrity gossip website is the zenith of ignorance!

Fred Mwangaguhunga is a genius for finding a niche in folks ignorance.
 
YOU MISSED THE POINT. My point is ENDORSEMENT YA VODA NA HAWA WAHUSIKA WOTE WAKO KWENYE MABANGO YA HAO VODACOM. Sasa sijajua point yako ni ipi?
I didn't miss any of your point if available but umeshindwa kujenga hoja labda kv uliona ushahidi ulionao ni magazeti ya Amani(ambayo sio credible source) ndipo ukaamua kuchomekea a known Rommy issue wakati target yako ni Diamond!

That's but second, Chris Brown alipoteza some of the endorsements kwahiyo it's after something lakini unachotaka wewe Diamond asipate endorsement simply because BACK THEN, according to Gazeti la AMANI the guy abused so and so huku ukisahau hata huyo Chris Brown mwenyewe hadi kesho anaendelea kupata endorsement!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…