Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Hivi ni nani yule ambae aliamua kuweka ndani kabisa baada ya kumvunjia kioo cha gari? Was Marehemu Kanumba, or?
Si ungeuliza swali tu moja kwa moja?
Wala haikua na haja ya Ku quote Uzi wote
Nilikusudia mashabiki na wateja wa Diamond sio wa Vodacom. Technically, Vodacom pia ni mteja wa Diamond.Mimi mteja wa hio vodacon nimeona na LINE NISHA FLUSH CHOONI kitambo sasa wateja hatuoni vipi sasa? Kama mteja nimeongea hapa.
Kwa nini unaanza kujinadi mapema kwamba 2017 UVCCM na unakana pasi na shaka siasa sio mchezo wako?
Faida zipi?Mmmhhhh inaonesha amekushika pabaya
Mpaka unaongelea kwa hasira zootee.mi naona bora umuache tu na maisha yake
Maake kwenye kuamua kuna kuangalia faida na hasara
Kweli Diamond ana faida nyingi kwa Tanzania hata kuliko msanii yeyote yule
Kingine kweli kabisa ni haki Wema kupigwa kama alikuwa anapigwa maake wema hana akili nzuri yule
Kingine sioni haja ya wewe kuwa unamsifia wema (tangu posts za awali) wakati tabia ya wema inawachafua nyie wanawake
Kingine kila mtu ana njia zake za kufikia marengo.mwingine anatafta skendo akishapata umaarufu anaacha hzo skendo
Kwa kifupi;
Ni kuwa fata maisha yako na acha kuwa mshabiki maake ushabiki sikuzote unaleta chuki ambayo chuki sio nzuri
MediaFakeOut? No one in the US except maybe some welfare hoodrats, who pay attention to the garbage they put on.
I'd go to Sandra Rose, NecoleBichie, and Bossip before I even think of MediaFakeOut.
But then again no one in the US even knows what Vodacom is let alone give a rat's you know what about it.
This is an exercise in futility.
You watch.....
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!
Leo nimekaa imenibidi niseme, sababu nipo kikazi as advocate of gender equality and enforcer of women rights i was waiting all this time TAMWA, TAWLA, UTU Mwanamke tu etc waongeee hii issue ila hawakuongea.
Juzi baada ya Rommy Jones, Official Dj wa Diamond kumbaka mtu huko Sweden na kumsikiliza meneja wa Dai, I was hoping even once ange apologise kwa Debora au hata kwa jamii ila ndo kwanza kamkingia kifua Rommy na Dai. That is it.
As jamii naanza kuongea naomba kina Mange Kimambi, Mrekebisha tabia nao waongeee, serious women activists tuangalie hili swala kwa jicho la 3.
History ya Diamond women abuse goes way back, and all these abuses are documented katika tabloids and anahojiwa na kukubali kafanya, even in some interviews zipo online nimezikusanya anakiri kabisaa na anaona sifa kwa unyanyasaji wake dhidi ya wanawake. The best part is internet never forgets.
Ningenyamaza but it is not okay kwa musicians na vijana wadogo zetu kama Dai kuona it is okay kunyanyasa wanawake watakavyo, well it is not. Mwanamke lazima aheshimiwe.
Diamond alimnyanyasa sanaaa, sanaaa, sanaa Amisuu Maliki, yule Miss Ilala, shombe shombe. Alimsingizia katembea nae gazetini. Yule binti alihangaika kujisafisha sema ndo hivo mtu maarufu keshaamua kukuchafua utafanyaje?
Kwa watu wa asili ya kiarabu alimuharibia maisha mpaka yule binti kakimbia nchi, sijui yupo China sijui yuko wapi na kisaikolojia ashapotea. He got away with it sababu yule binti kama wengine hakuwa kasoma, wala hakuwa na nguvu ya kupambana na Diamond.
Akaja kumnyanyasa sanaa sanaa Wema Sepetu. Alikuwa anampa vipondo heavy mara kwa mara. Shame on you Wema kwa kuwa so blind in love kwa kushindwa kureport na kuona sawa tu vipondo ulivyoshushiwa. Na alikiri kwenye Amani (gazeti), picha ipo, makala ipo kuwa ndio anampiga Wema sanaaa, kwa sababu ni jeuri. Watu wakaona sawaaa tu, si kataka mwenyewe.
Interviews nyingi sanaa amekuwa anatoa verbal abuse dhidi ya ma ex wake, live on air. Anatukana wadada hakuna mfanooo. Sababu ma ex wake ndo hivo tena wadogo, shule ya wasiwasi wanashindwa kupambana nae, wanabakia victims tu. Shame on you Jokate kwa kushindwa kuchukua lawsuit againts hii woman abuser. Hizi interview zipo online na huyu mtu hajawajibishwa mpaka kesho.
Kwa wenzetu mtu mwenywe historia ya Diamond hafai kuwa endrosed na kampuni yoyote hata ya mfukoni. Shame shame shame on you Voda and RedGold kwa kumpa huyu mtu endorsement. Vodacom aliesapoti hii ishu ni jipu na atumbuliwe. Tigo wamechukua Joti very clean, hana harufu ya women abuse charges. Shame shame shame on you Voda. Line yangu nishaiflush chooni i cant roll with a company yenye women abuser as their brand ambassador. Hapa ni Tigo baby mwanzo mwisho.
Chris Brown alivompiga Rihana was stripped all his endorsement deals. He has spent 7 years apoligising, giving interviews, being on the front bench ku advocate alichofanya sio sahihi na kuelimisha jamii kwamba ule sio muelekeo na till date hana endorsement ya maana na some countries kama Australia amenyimwa visa entry for something he did 7 years ago.
I call all the women verbally or physically abused by Diamond to speak up even in their Instagram pages, msiogope backlash, we have to break the cycle of silence. Sababu wote mko hai find the courage to do so.
Hata waliokuwa abused na billy cosby it took them 20 years even more kuongea the minute wameongea he lost all his endorsements and was stripped all his honorary degrees and tittles sababu he is a noble citizen.
Goodluck Voda kwa kuwa na brand ambassador mwenye Dj mbakaji na alishawahi kumpiga Gf mpaka mimba ikatoka na aka-confess kwenye interview. What a brand image!
NA ILE MIBANGO YENU YENYE DJ MBAKAJI MWENYE RB VEPEEEEEEEEE! MFANYE MUITOE MAPEMAAAA HIZI HABARI ZIKO MBIONI KWENDA MEDIA MediaTakeOut.com 2014 ULE MBANGO UKIFIKA HUKU NA RB YA DEBBY NA HIVI HAWAJAMALIZANA NAE DOLLA ZAKE HAJALIPWA MJUE NI ITAKUWA GLOBAL SCANDAL NCHI KIBAO ONE BRAND!
HABARI ZIKO NJIANI KUELEKEA HUKO NA BLOG ZINGINE GOBAL FANYENI MTOE MIBANGO HIO. OOOOHHH!
ITAKUWA MAJIPU MAWILI;
1. KUKURUPUKA NA
2. KUTOCHUKUA HATUA MADHUBUTI KWA WAKATI
Tatizo ni kwamba unatupa tabu tunaotumia cm banana ww kwa nn usingandika kivyajo kwa nn uni quote
ila lara 1 hana kinyongo wala roho yako kisha nijibu over.
PILITICAL=POLITICAL.Siasa sio my area of expertise that is fact. Kwanini nijifanye najua siasa wakati sina interest kabisaaa. Siasa ni interest ya mtu na mimi sio interest yangu wala sina habari nayo kabisaa unless ni mambo yanayotugusa wanachi moja kwa moja ila mambo yao ya vyamaa walaaa sipo huko kabisaaa. Hata uniulize kuna vyama vingapi nchini sijui. SO FOR PILITICAL ISSUES YOU ARE BACKING THE WRONG TREE.
Hiyo ni sawa na kutupa line yao pia ni sawa kama hawafanyi kwa mujibu wa matarajio yako. Maswali yangu yalilikuwa ni nini sababu ya umaarufu wa Diamond? Je mashabiki na wateja (wengine ukiacha Vodacom) wa Diamond hawaoni haya "mabaya" uliyoyasema? Kwa nini anazidi kuwa maarufu pamoja na mabaya yote hayo?Na mimi ni mteja wa VODACOM.
Tatizo ni kwamba unatupa tabu tunaotumia cm bana
This is bad, man. I wouldn't wish such self embarrassment even to the sucker who'd steal the woman I love, and gimme a hard kick to the guts, while at it.
I didn't miss any of your point if available but umeshindwa kujenga hoja labda kv uliona ushahidi ulionao ni magazeti ya Amani(ambayo sio credible source) ndipo ukaamua kuchomekea a known Rommy issue wakati target yako ni Diamond!YOU MISSED THE POINT. My point is ENDORSEMENT YA VODA NA HAWA WAHUSIKA WOTE WAKO KWENYE MABANGO YA HAO VODACOM. Sasa sijajua point yako ni ipi?
Ha ha ha haYOU MISSED THE POINT. My point is ENDORSEMENT YA VODA NA HAWA WAHUSIKA WOTE WAKO KWENYE MABANGO YA HAO VODACOM. Sasa sijajua point yako ni ipi?