Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda

Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda

Narudia haya ni maneno ya kijiweni Voda wana campaigns kibao...bango la diamond likitolewa it means it's another time for another campaign/promotion...kwahiyo acheni uzushiiiiiiiiiiiiii....No 1 Diamond supporter #SHUT UP LORA SIJUI NINI...!
 
Narudia haya ni maneno ya kijiweni Voda wana campaigns kibao...bango la diamond likitolewa it means it's another time for another campaign/promotion...kwahiyo acheni uzushiiiiiiiiiiiiii....No 1 Diamond supporter #SHUT UP LORA SIJUI NINI...!


Tulia ganzi iiingie.... Utang'olewa jino bila ganzi!
Shauri yako.
 
Your fighting the loosing battle my dear....Na chuki zako kwa diamond dili la voda limekuuma a huge deal is yet to come to this kid Diamond kuna ddili linakuja sijui utamzushia lipi maana kila kukicha mara umseme zari hana kitu mara diamond doesn't deserve this and that woman have a life mind your business if you have any.. maana unaonekana mtu wa tabloid mmpaka basi From Tmz to mediatakeout to Linda ikeji duh...Sometimes you sound intelligent but you always give me a reason to question your intelligebillity by supporting loosers like wema ssepetu
 
HAHAHAAAAAAA! PITA MOROCCO KAMA BANGO HALIJATOKAAA, PITA MNAZI MMOJA. WAMETOA CAUSE KUNA WANTED FUGITIVE FOR RAPE CHARGES IN SQWEEDEN YAANI SERIOUSLY ULITEGEMEA VODA WATAYAACHA YALE MABANGO. MOJA LIMETOKA IN 5 DAYS TUONE KAMA LITABAKI HATA MOJA.

Sichakua hata kumi ya mtu kufanya dirty work yoyote dirty work ilifanywa Sweeden na Sinza mimi nime point out tu.

MIMI LIGI NDOGO ILA VODA IS A GOBAL BRAND TUONE SASA. NIKO HAPAAA KAMA NILIVOSEMA NDO KWANZA NIMEANZAAA NA MTU MDOGO MZURI I HAVE NOTHING TO LOSE.
Naishi apa makumbumbushi sema morocco sehem gan lilikuwepo??
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!

Leo nimekaa imenibidi niseme, sababu nipo kikazi as advocate of gender equality and enforcer of women rights i was waiting all this time TAMWA, TAWLA, UTU Mwanamke tu etc waongeee hii issue ila hawakuongea.

Juzi baada ya Rommy Jones, Official Dj wa Diamond kumbaka mtu huko Sweden na kumsikiliza meneja wa Dai, I was hoping even once ange apologise kwa Debora au hata kwa jamii ila ndo kwanza kamkingia kifua Rommy na Dai. That is it.

As jamii naanza kuongea naomba kina Mange Kimambi, Mrekebisha tabia nao waongeee, serious women activists tuangalie hili swala kwa jicho la 3.

History ya Diamond women abuse goes way back, and all these abuses are documented katika tabloids and anahojiwa na kukubali kafanya, even in some interviews zipo online nimezikusanya anakiri kabisaa na anaona sifa kwa unyanyasaji wake dhidi ya wanawake. The best part is internet never forgets.

Ningenyamaza but it is not okay kwa musicians na vijana wadogo zetu kama Dai kuona it is okay kunyanyasa wanawake watakavyo, well it is not. Mwanamke lazima aheshimiwe.

Diamond alimnyanyasa sanaaa, sanaaa, sanaa Amisuu Maliki, yule Miss Ilala, shombe shombe. Alimsingizia katembea nae gazetini. Yule binti alihangaika kujisafisha sema ndo hivo mtu maarufu keshaamua kukuchafua utafanyaje?

Kwa watu wa asili ya kiarabu alimuharibia maisha mpaka yule binti kakimbia nchi, sijui yupo China sijui yuko wapi na kisaikolojia ashapotea. He got away with it sababu yule binti kama wengine hakuwa kasoma, wala hakuwa na nguvu ya kupambana na Diamond.

Akaja kumnyanyasa sanaa sanaa Wema Sepetu. Alikuwa anampa vipondo heavy mara kwa mara. Shame on you Wema kwa kuwa so blind in love kwa kushindwa kureport na kuona sawa tu vipondo ulivyoshushiwa. Na alikiri kwenye Amani (gazeti), picha ipo, makala ipo kuwa ndio anampiga Wema sanaaa, kwa sababu ni jeuri. Watu wakaona sawaaa tu, si kataka mwenyewe.

Interviews nyingi sanaa amekuwa anatoa verbal abuse dhidi ya ma ex wake, live on air. Anatukana wadada hakuna mfanooo. Sababu ma ex wake ndo hivo tena wadogo, shule ya wasiwasi wanashindwa kupambana nae, wanabakia victims tu. Shame on you Jokate kwa kushindwa kuchukua lawsuit againts hii woman abuser. Hizi interview zipo online na huyu mtu hajawajibishwa mpaka kesho.

Kwa wenzetu mtu mwenywe historia ya Diamond hafai kuwa endrosed na kampuni yoyote hata ya mfukoni. Shame shame shame on you Voda and RedGold kwa kumpa huyu mtu endorsement. Vodacom aliesapoti hii ishu ni jipu na atumbuliwe. Tigo wamechukua Joti very clean, hana harufu ya women abuse charges. Shame shame shame on you Voda. Line yangu nishaiflush chooni i cant roll with a company yenye women abuser as their brand ambassador. Hapa ni Tigo baby mwanzo mwisho.

Chris Brown alivompiga Rihana was stripped all his endorsement deals. He has spent 7 years apoligising, giving interviews, being on the front bench ku advocate alichofanya sio sahihi na kuelimisha jamii kwamba ule sio muelekeo na till date hana endorsement ya maana na some countries kama Australia amenyimwa visa entry for something he did 7 years ago.

I call all the women verbally or physically abused by Diamond to speak up even in their Instagram pages, msiogope backlash, we have to break the cycle of silence. Sababu wote mko hai find the courage to do so.

Hata waliokuwa abused na billy cosby it took them 20 years even more kuongea the minute wameongea he lost all his endorsements and was stripped all his honorary degrees and tittles sababu he is a noble citizen.

Goodluck Voda kwa kuwa na brand ambassador mwenye Dj mbakaji na alishawahi kumpiga Gf mpaka mimba ikatoka na aka-confess kwenye interview. What a brand image!

NA ILE MIBANGO YENU YENYE DJ MBAKAJI MWENYE RB VEPEEEEEEEEE! MFANYE MUITOE MAPEMAAAA HIZI HABARI ZIKO MBIONI KWENDA MEDIA MediaTakeOut.com™ 2014 ULE MBANGO UKIFIKA HUKU NA RB YA DEBBY NA HIVI HAWAJAMALIZANA NAE DOLLA ZAKE HAJALIPWA MJUE NI ITAKUWA GLOBAL SCANDAL NCHI KIBAO ONE BRAND!

HABARI ZIKO NJIANI KUELEKEA HUKO NA BLOG ZINGINE GOBAL FANYENI MTOE MIBANGO HIO. OOOOHHH!

ITAKUWA MAJIPU MAWILI;

1. KUKURUPUKA NA
2. KUTOCHUKUA HATUA MADHUBUTI KWA WAKATI
well said, tukipata wanawake kumi kama wewe itapendeza sana
 
KESHO NI TBT NGOJA NIWAHI KIDOGO TUJIKUMBUSHEE NA HILI

Unique Entertainment Blog: WEMA SEPETU ADUNDWA KAMA MWIZI NA DIAMOND

wema.jpg


LIMEKAA VIBAYAAAA, DILI HALIJATULIA LIMEKAA VIBAYAAAA. HAYA MABO YOTE YAMO GOOGLE MBONA.

Anyway about Friday namtakia kijana Dai kila lakheri kwenye muziki wake, nitasikiliza hilo songi na kucheza juuu. Mimi tenaaaa. Na Voda mna mimi tutakumbushana kama hivi kidogo kidogo kesho nataka nikapige picha lile bango maana humu nime search juu halimo ndo nataka kuliingiza sasa. Hahahaaa.
Ukiulizwa ushahidi utasema global publishers....ha ha ha

Hawa hawa ambao Wema alienda kuwatukana wamemchafua kwa kuandika uongo ndio wakaaminiwe na Mahakama?!

Unan'chekesha.
 
Hata bibi wa miaka 70 kisheria bado ANALINDWA DHIDI YA UNYANYASAJI WA KIJINSIA.

Hata kama hawajashtaki kama jamii tumeona ni kosa LAZIMA TUKEMEE.
Ningefurahi sanaaaaa tu Kama ungefungua kesi juu ya "Mtuhumiwa" katika mahakama unayo ipenda Halafu tuiache Sheria ifuate mkondo wake.Lakini hapana.
Weyeee ukaona uje Hapa JF kutupigia kelele zako.
Naanza kuamini weye siyo bure ila utakuwa
Team ROHO korosho
 
Naona hapo ww full WIVU tu huna lolote.maendeleo yake yanakujaza POVU kakupiga bonge la GEPU.umechelewa kumchafua bhana. Simbaaaaaaaaaa
 
Dimond alikiri GAZETINI naomba google DIMOND KAMPIGA WEMA, utaletewa magezeti yenye hio interview kakiri kabisaa KUMPIGA WEMA. Sasa huyu mtu ni mnyanyasaji wa wanawake hafai kuwa BRAND AMBASSADOR. Achia mbali VERBAL ABUSE ANAZOWAFANYIA WANAWAKE.

Hatuwezi kuwa na jamii ya hivi. Sio sahihi.
Gazeti gani? Usituletee gazeti la udaku lakini koz wao wapo kumake up stories wauze
 
Joyce ana TV TALK SHOW, ana fun base kubwa, ni mtu muhimu sanaa kwenye juhudi za kumkomboa mwanamke Tanzania. Mimi nalenga hii talk show, what she does behind yeye na Mungu wake.
Kwani diamond dili za voda pia si kutokana na kazi yake...unamix mafile sasa
 
Kwa tulipofikia Lara1.

Inakubidi tuu uombe dunia ipasuke, kwa unayoyaongea na kinachoendelea baaasi mi nanyosha mikono,, ki ukweli pasipo na shaka unayaongea haya kwa hila na si kwa namna ya kuelimisha jamiiii.

Sababu
1. Tanzania na dunia kwa ujumla imejitahidi mno kupigania kukomeshwa kwa unyanyasi wa wanawake lakini wanawake wenyewe mmeshindwa kuunga mkono juhudi hizo,, mtakua mmeelewa dhana nzima ya kuwakomboa nyinyi. Inatia huruma ukipita vyuoni ukafuatiria mienendo ya wanawake au wadada ambao ndio wanapambaniwa wanachovyovifanya,, wewe ni shahidi katika hili naamini. Wamekua mabingwa wa kuwanyanyasa wanaume hasa kwa kuziacha tamu zao hadharani hivyo kuwa chanzo cha magonjwa mengi ya kisaikolojia kwa wanaume. Hayo yoote mmeshindwa kupambana na udharirishaji huo ila ulio uona ni wa Diamond ambaye pia unamnyanyasa kwa kuwa hana elimu ya kujipigania. Wewe ni nani katika hilo unawazidi wahanga unaowasemea??? Hujui kama na wewe hapo unawanyanyasa wanawake wenzio kwa kuwachafua hasa kwa kuwaona wao ni mbumbu hawajui lolote juu ya utu wao na kuutangazua uma katika hayo madhaifu yao unayotaka tuyafiche??
2. Si dhani kama unachokisemea kina maana halisi ya unachokilenga. Inaonekana hapa upo kimasilahi zaidi na si kwa kutetea wanawaje kama unavodai, kiufupi wewe sio jipu tena ni salatani,, hii kesi ya akina joketi na wema kunyanyaswa ilikuwepo kabla hata ya diamond kupewa tenda ya tangazo na vodacom,, leo kapewa ndio unaileta ulikuwa wapi kabla issue ilipokuwa hot!? Au lengo ni kutaka dogo anyanganywe dili upewe wewe ukitegemea atakufa masikini kwa chuki zako zilizojificha ndani ya kutetea haki za wanawake??
Ifike hatua mi naone tuwe tunakubali mafanikio ya mtu na ikiwezekana tutafute njia madhubuti ambazo zinaweza na sisi kutusaidia tukafika pale ambapo tunatamani tufike kama unavotamani kupiga dili la voda diamond akitoka.
NAVOMJUA WEMA NI MTU MWENYE BUSARA NA ASIYEPENDA KUONEWA NA KWA JINSI HIYO KAMA TUHUMA UNAZOMPA DIAMOND ZINGEKUA NA MASHIKO ANGESHACHUKUA HATUA MAPEMA MNO.

3. Umeshindwa kudhihirisha tuhuma zako kwa kina kutofautisha kati ya hisia zako juu ya diamond na uhalisia wa diamond juu ya hizo tuhuma. Kwa harakaharaka mtu atagundua nini unachomanisha mbali na huo mwamvuli wa kutetea haki za akina mama,, bora ungeongea ukweli kua ulikua na mtu ambaye ungetamani amege ka kitumbua hako ambako platnumz anakapata,, upo kama sehemu ya tangazo la mtu na hii sio hoja. Na nadhani amekuelewa aliyekutuma kufanya hivo.


Kwa hayo machache ya haraka haraka kwa wasiojua na watu wenye mazoea ya watz wa nyuma watakuunga mkono lakini mimi kwa hilo nahitaji viboko kukuelewa, umeanika hadarani kwa kuwadharirisha wanawake wenzio sina uhakika kama wamekubaliana na hili, lakini wewe mambo yao ya ndani umeyaleta hadharani. Ningekuona wa maana kama na wewe ungejiwekemo kwenye angalao hata ka mfano kamoja basi kwa namna moja amanyingine

Sitetei maovu ya diamond kwa jinsi ulivoyaona lakini naadhani kama kweli ni muovu kwa kiasi hiki nadhani vyombo husika na hukumu juu ya tuhuma zingekua zilishachukua hatua sitahiki dhidi ya hili na kwa umakini wa vyombo naamini angekua alishachukuliwa hatua,, lakini wewe umekua m- badala wa vyombo hivi na kutoa adhabu kali ili bwana huyo akose ka mkate kake ka kila siku.

N. B
Mtu ukitokea kuto mpenda bora ukachukua hatua zingine sio kumkazania ili ummwagie ka unga. Sasa unataka akikosa kazi abebe familia yake ije kwako???


Huo ni mtazamo,, jitahidi kua mzalendo, kutumia lugha ya kingereza kwa kuchanganya na kiswahili hakuifanyi hoja kuwa na mshiko,, hizo ni dalili za kuficha ukweli ili kuepuka kufikiria kwa kina pale utakapoeleweka na wengi hasa kwa hoja zako zitakapogundulika kuwa zilistahili kuwa kwenye nyimbo za mahadi ya TAAARABU

IKUMBUKWE SIKO TAYARI KUTETEA UNYANYASI WA MWANAMKE, ILA MBIO HIZI NAOMBA ZIFIKE HUKU VIJIJINI NDIO MJUE NI JINSI GANI WANAWAKE WANANYANYASWA,,LAKINI SIO KUZIPIGANIA TUU KUTOKA KWA WATU MAAALUFU ILI NANYI MUWE MAARUFU

AU MSIWATUMIE WATU MAALUFU VIBAYA ILI WATANGAZE JUHUDI ZENU

KABLA HUJATOA MSIMAMO WAKO,,IHAKIKISHE MIGUU YAKO IMESIMAMA IMARA PALE UNAPOTAKA KUSIMAMIA.
 
Nimepita Sam nujoma road wanabadilisha na kumuweka yule Dada Wa matangazo ya dabodabo sijui wamekusikia au utaratibu Wa ofisi
 
wanawake walitaka kuwezeshwa wamewezeshwa,tunaona wanachofanya bongo movie na kwengineko.wanataka umaarufu ili wafanye adultery,chibu was in search of right woman but he didn't get na ndo maana alkuwa ana change daily coz karb wote vicheche sio huyo wema,jokate wala penny.so wa kumlaumu sio chibu ni hao mabinti.am out
 
Your fighting the loosing battle my dear....Na chuki zako kwa diamond dili la voda limekuuma a huge deal is yet to come to this kid Diamond kuna ddili linakuja sijui utamzushia lipi maana kila kukicha mara umseme zari hana kitu mara diamond doesn't deserve this and that woman have a life mind your business if you have any.. maana unaonekana mtu wa tabloid mmpaka basi From Tmz to mediatakeout to Linda ikeji duh...Sometimes you sound intelligent but you always give me a reason to question your intelligebillity by supporting loosers like wema ssepetu
Bora ata angemsapport Jokete maake anajielewa.
Mtu anaemsupport wema na kuleta ushibiki namuona kama ni walewale2
 
Matokeo ndo utulie sasa sio kupaparika, kesi ya Bill Cosby yenyewe ilichukua miaka arobaini US alafu mwanangu, je bongo si miaka hata 100 ukute. Sasa haraka ya nini? NO HURRY IN AFRICA, HAKUNA MATATA!

Power ya WCB mi naijua sanaa, I AM A FAN, JUZI TU NIMETOKA KUMPIGIA HARMONIZE DEBE ASIPOPEWA TUZO WALAU 5 NA KILLI AWARDS NAANDAMANA. Cheki nyuzi zangu za nyumaa, nilitokwa povu kweli watu kusema kijana hana kipaji, weeeeeee Ayooola tenaa. Kishingo upande jana nikaona kamuita Dee jay gani sijui Dj anae zingua jamaniii mbona Harmo hivo tenaaa.

POWER YA WCB NAIJUA SANAAAA. ILA RAPE CHARGES MY DEAR IS NOT A JOKE. Huo mda wa kunionesha mimi power malizaneni na Debby. Hahahaaa DONT FORGET MIMI MTU MDOGO SANAA SINA EFFECT KWENYE JAMIII. NYIE TENA WCB NI UNTOUCHABLES.
HUO MUDA WA KUNIONESHA MIMI POWER MALIZANENI NA DEBBY.

Zingine zote zilikuwa blah blah.
Atleast nimekuelewa lara, ila siku nyingine usizunguke zunguke sana.
Hahaha I bet umekula vya watu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahahaaaaa! JIJI SAFIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII! WOYOOOOOO WOYOOOOOOOOO! Sasa mi sitaki kuongea mengi kwa sasa maana reasonable time haijaisha na hatua zishaanza kuchukuliwa. Ila tu mkumbuke INTERNET NEVER FORGETS.

Nawaacha kwanza mjimlizeeeeeee, mjimimineeee kama kaka meneja kwenye zile shutuma. Mseme yote ndo mimi ndo napo wapatia kwa hayo hayo mliyosema. Kabla hujabadili maneno au kupindisha pindisha habari kumbuka habari ya kwanza uliongea nini, mbele ya camera ngapi na data gani ulitoa. Bila hivo ukichakachua ile interview ya nyuma itawavua nguo Voda maana mlijimimina hatari.

Press release zenu zimesainiwa kabisaa mkazimwaga mwenye mablog, nazipitia pitia hapa daily just incase you twist something. Nishazi save na ku screenshot hazikawii kupotea maana mtandao si wenu huu.

NAWATUMIA SALAMU NYINGI TOKA KIBAIGWA HUKU SOKO LA MAINDI MTANDAO TUNAUPATA SAFIIIIII KABISAAAAAA.
 
Back
Top Bottom