Pale Mke anakuwa mchepuko wa mume

Kwa majuto haya kuwa tu mkweli, alivyoingilia ule mlango mbele baada ya kuufunga hakutokea ule mlango wa uwani ambao mara nyingi unakuwaga na matakataka?
 
Mwandiko wa mwanaume kabisa huu.
 
Mtalaka wako kwa nini bado unajidanganya kuwa ni mmeo?

Mume ni title yenye hadhi yake isiyostahili kutaniwa ama kubezwa!

Hapo wewe ulilala na mchepuko kama mchepuko mwingine, sababu huyo jamaa si mumeo wala wewe si mkewe.

Tutumieni kiswahili vizuri, tusiichafue maana ni lugha ya Taifa.

Kwani madhehebu yake hayamruhusu kukurejea, maana umempamba kwa sifa, hivyo bado unampenda na yeye anakupenda pia ndiyo maana akakusorolea na kukulala.
 
Tulikubaliana kwenye kikao chetu kuwa single mama nikuwala mbususu na kuwaacha hapo hakuna kuwao huu ndio msimamo wetu tunamshukuru sana huyo mwamba hakika umetuwakilisha vizuri na alielewa kikao chetu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni mdangaji kama wadangaji wengine, kwanini ulale na mume wa mtu?? Hujamove on ndio maana ukakubali kuvua nguo mfyuuu zako nyie ndio mnafanya single mothers watukanwe na waonekane hawana msimamo.

Kwanza inaoneka wote wawili hamjiheshimu ndio maana mnavuana nguo kipuuzi tuu, na pia wewe ni mwanaume kabisa mwandiko sio wa kike huu so hii ni CHAI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…