Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Mrema mke wake amefariki na mwezi uliopita amefunga ndoa nyingine kanisa katoliki.Je technically unaweza kumuua, ukatubu halafu ukaoa mwingine ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrema mke wake amefariki na mwezi uliopita amefunga ndoa nyingine kanisa katoliki.Je technically unaweza kumuua, ukatubu halafu ukaoa mwingine ?
Ndivyo Yesu alivyofundisha?Hakuna cha vatican wala cha marekani, sheria za ukristo ni kwamba huwezi kuongeza mke na kitu pekee cha kuwatenganisha ni kifo
Asante sana kwa nyongeza hiyo ambayo ni sahihi kabisa.Cha kuongezea,
Ndoa haitakiwa kufungwa kama kuna Chembe Chembe za Uongo,
Kwa maan hyo wew unaetak kufunga Ndoa wakati unajua ni hanithi inadhihilisha wazi kabisa kwamba ulikuwa Muongo Kwa Mwenzio
Komaa na unalo liamin mkuu inabidi kufanyiwa surgery watoe machine hamna jinsiHio ni dhambi, mahusiano pekee baina ya mwanamke na Mwanaume ambayo Mwenyezi Mungu huyabariki ni yale ya kwenye ndoa tu, nje ya hapo hayo mahusiano hayana chembe yoyote ya baraka zake Mungu
Ndoa ya kapuku mie ikajadiliwe Vatican? Au ni hii ya hapo sinza😒?Ukipeleka swala kanisani unapata ushauri, ushauri mwingine huchukua muda kwani maamuzi hufanyikia Vatican.
Ukristo hauna compromise! Huo ndio msalaba wako, simple and clear.View attachment 2208333
Katika sheria za dini za kikiristo ni kwamba hurusiwi kuongeza mke na kifo pekee ndicho cha kuwatenganisha, kinyume na hapo ni nje ya sheria za ukristo.
Sasa inapotokea mfano mke wako anafungwa jela miak 30 ama hata kifungo cha maisha na bado hamna hata mtoto, ndoa bado ilikuwa mbichi, hapo hii hali inatatuliwa vipi?
Haiwezekani Mungu aweke sheria ya kukubana sehemu flani na asiweke mlango wa kutokea, hizi sheria za kuoa ni za viongozi wa makanisa na sio maandiko,
MUHIMU: Wanaokwenda jela sio wote wenye hatia, wengine wamebambikiwa