Pale mke anapofungwa miaka 30 jela na hurusiwi kuongeza mke, hii hali inatatuliwa vipi?

Pale mke anapofungwa miaka 30 jela na hurusiwi kuongeza mke, hii hali inatatuliwa vipi?

Cha kuongezea,
Ndoa haitakiwa kufungwa kama kuna Chembe Chembe za Uongo,
Kwa maan hyo wew unaetak kufunga Ndoa wakati unajua ni hanithi inadhihilisha wazi kabisa kwamba ulikuwa Muongo Kwa Mwenzio
Asante sana kwa nyongeza hiyo ambayo ni sahihi kabisa.
 
Hio ni dhambi, mahusiano pekee baina ya mwanamke na Mwanaume ambayo Mwenyezi Mungu huyabariki ni yale ya kwenye ndoa tu, nje ya hapo hayo mahusiano hayana chembe yoyote ya baraka zake Mungu
Komaa na unalo liamin mkuu inabidi kufanyiwa surgery watoe machine hamna jinsi
 
View attachment 2208333

Katika sheria za dini za kikiristo ni kwamba hurusiwi kuongeza mke na kifo pekee ndicho cha kuwatenganisha, kinyume na hapo ni nje ya sheria za ukristo.

Sasa inapotokea mfano mke wako anafungwa jela miak 30 ama hata kifungo cha maisha na bado hamna hata mtoto, ndoa bado ilikuwa mbichi, hapo hii hali inatatuliwa vipi?

Haiwezekani Mungu aweke sheria ya kukubana sehemu flani na asiweke mlango wa kutokea, hizi sheria za kuoa ni za viongozi wa makanisa na sio maandiko,

MUHIMU: Wanaokwenda jela sio wote wenye hatia, wengine wamebambikiwa
Ukristo hauna compromise! Huo ndio msalaba wako, simple and clear.
 
Back
Top Bottom