Mwana Ukoo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 252
- 422
Nafikiri pale juu kaandika [HASHTAG]#anakua[/HASHTAG] siyo [HASHTAG]#anakuta[/HASHTAG] muulize upya tafadhaliAnakuta ndyo nn?
The Bold umeona hiiKilichbaki ni kuanza ku act porn tu maana adea ya kiki ni ileile na safari hii imegoma rekodini video kabisa mkigegedana apo ndo tutashituka. Davido anatrend Africa nzima kwa ngoma kali lakini mwenzangu na mm ngoma zote chali hahahaaa mwaka huu tutaona mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja jiwe liachiwe kama hamtatafutana humu achana na king kiba ngoma yake moja ni sawa na nyimbo ishirini za wasafi. Eneka, faya, bigiribigiri zote chali zinapumulia mashinePale unapolazimisha kila mtu akichukie unachokichukia ww, shauri yako mwisho wa siku unaweza ukajikuta upo peke yako lkn wenzako wengi wanazipenda. Huyo msanii wako unayempenda, kakaa kimya mpaka MTV wamemsahau baada ya kuposti picha yake ktk page yao ya IG wakapost picha ya mpiga picha wake.
Siyo hawa wanaotoa nyimbo kila wiki afu zote chali. Walichobakiza ni kiki za kipuuzi kama watoto wadogo, bibi zima ni mitoto mitano lkn halijielewi.Mimi namsubiria king wa hii bongo fleva yeye huwaga hana papara akitoa nyimbo moja inaishi miaka mitatu
Ndoo maana watz hatuendeleii nenda ka act na ww ukikosa chaa kupost boraa unyamazeeKilichbaki ni kuanza ku act porn tu maana adea ya kiki ni ileile na safari hii imegoma rekodini video kabisa mkigegedana apo ndo tutashituka. Davido anatrend Africa nzima kwa ngoma kali lakini mwenzangu na mm ngoma zote chali hahahaaa mwaka huu tutaona mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umekutachi kama dukeNdoo maana watz hatuendeleii nenda ka act na ww ukikosa chaa kupost boraa unyamazee
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww ndo mtunza ATM card zake mpk ujue hana hela. Hatupendi show off mambo yetu kimy kmy, ngoja bomu liachiwe mtatafutana.Daah mashabiki wa kibongo nuksi sana yaan Msanii wako hajatoa nyimbo ni miaka sasa lakini bado unasifia .. Kiba bwana pesa hana akitaka kutoa ngoma lazima ajipange sana ..
sent from my iPhone 7 using jamiiForums mobile app
Umezizika pekeyako au umezizika nani?
sasa mbona wote mmechapiapole sana ila mwenzio anakua bata
Anakuta ndyo nn?