Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Analipwa 80% ya Rais aliyeko madarakani, gari, dereva, mafuta, matibabu, walinzi n.k bado watoto wao ni viongozi/wabunge n.k bado unataka uendelee kumnemesha, kuna walimu wametumikia taifa kwa uaminifu mkubwa lakini hata pension zao ni aibu. fungua macho uone.Kumtunza na kumuenzi mtu aliyetumikia Taifa kwa miaka 10 katika kazi ngumu kama ya urais wewe unaona si jambo la msingi? Ulitaka taka wa enziwe vipi?
Kwani serikali hii ya kidhalimu na inaongozwa na Chama gani?
Kamuulize chakubanga, atakujibu !Kwa hiyo mshahara wa JPM wa urais analipwa na kodi za WanaCCM kwa vile ndio inayounda serikali
Analipwa 80% ya Rais aliyeko madarakani, gari, dereva, mafuta, matibabu, walinzi n.k bado watoto wao ni viongozi/wabunge n.k bado unataka uendelee kumnemesha, kuna walimu wametumikia taifa kwa uaminifu mkubwa lakini hata pension zao ni aibu. fungua macho uone.
Mwalimu ana bucha, soko lake? kwanini na wao wasiboreshewe iwe monthly pension ni 80% ya mwl aliyopo kwenye hicho cheo chake? tuache upendeleo wa kijinga na kuwa umiza wengine.Mwalimu stahiki zake ni zipi akiwa kazini akitumika ambazo zinatakiwa ziakisi tofauti na pesheni yake?
Hana tofauti na wafuNilifikiri Polepole ana akili kidogo kumbe hana kabisa.
Mwalimu ana bucha, soko lake? kwanini na wao wasiboreshewe iwe monthly pension ni 80% ya mwl aliyopo kwenye hicho cheo chake? tuache upendeleo wa kijinga na kuwa umiza wengine.
Mpuuzi kama wewe utakuta umepanga chumba kimoja lakini unashangalia manyanyaso kwa watzHaya si mawazo mapya katika mfumo wa zamani yangetekelezeka kwa staili gani kama hayako kwenywe mfumo? Nsona chengachenga tu.
Pole upo gizani, Escrow ilishamuenzi kitambo.Kumtunza na kumuenzi mtu aliyetumikia Taifa kwa miaka 10 katika kazi ngumu kama ya urais wewe unaona si jambo la msingi? Ulitaka taka wa enziwe vipi?
Mpuuzi kama wewe utakuta umepanga chumba kimoja lakini unashangalia manyanyaso kwa watz
Joined Thursday.Chadema fedha zote walizo changiwa katika michango mbalimbali kutoka kwa wa fadhili,wananchi, wabunge zote zimeishia kutafunwa. Sasa msiwaoneee wivu CCM, fedha zao wamewekeza katika miradi mbalimbali na Moja ya faida ni ununuzi wa magari. Chadema magari na vifaa vya Chama vyote vinamilikiwa na Mwenyekiti wao.
Hizo sheria za kipuuzi zimetungwa serikali hii ya kibaguzi na kupitishwa na vilaza wagonga meza.Ndio upotoshaji tusioutaka huu nyumba ya Kikwete na Marais wengine wastaafu ni kwa mujibu wa katiba ya JMT. Hayo ni mambo ya serkali sio chama cha CCM.
NA WEWW UNA AKILI KAMA ZA POLEPOLEChadema fedha zote walizo changiwa katika michango mbalimbali kutoka kwa wa fadhili,wananchi, wabunge zote zimeishia kutafunwa. Sasa msiwaoneee wivu CCM, fedha zao wamewekeza katika miradi mbalimbali na Moja ya faida ni ununuzi wa magari. Chadema magari na vifaa vya Chama vyote vinamilikiwa na Mwenyekiti wao.
tena amesisitiza mkiwapigia kura CCM wana-upgrade magari ya ghali zaidi 🤣 🤣 🤣