Uchaguzi 2020 Pale Polepole akiwatambia Watanzania kuwa Watendaji wa CCM wanatembelea Land Cruiser V8

Uchaguzi 2020 Pale Polepole akiwatambia Watanzania kuwa Watendaji wa CCM wanatembelea Land Cruiser V8

Hizo sheria za kipuuzi zimetungwa serikali hii ya kibaguzi na kupitishwa na vilaza wagonga meza.
Tutafuta hizi sheria zote za kijinga baada ya hawa mashetani kuondoka ikulu

Lissu na rais wa mashoga duniani unafikiri ndio watakao weza kumuondoa JPM na CCM madarakani? AU unafikiri propoganda zenu za hili joka/monoster lenye vichwa 7 linaloitwa genge la madui wa Taifa la Tanzania ndio zitafua dafu unajidanganya. Vichwa vingine vikiwa ndani ya Tanzania hapo Tanga kwa mfano. Vingine vikiwa USA na kwengineko vikitena sumu.

Propoganda za kutaka kuchezea sifa bora za Rais JPM za kuwa 'a Very Firm, Decisive and No Soft President' sifa hizi zilizo mfanya JPM awe Rais wa kipekee duniani mnataka kuzichezea. Namkisha zichezea ndio mje kumpigia Lissu kampeni kijanja janja? Mambo ya ajabu sana haya kama yataendelea kuvumiliwa.
 
Hii clip imenifikirisha kweli maana sijajua kama ni kuwakejeli Watanzania kua wanaishi kifahari kuliko wao?

Ulimbukeni wa H. P baada ya kupata hela na madaraka ?
Au Wa Tz ni makimbikeni kiasi hata hawajui LC V8 ni nini.

Huu ubabe na kujimwambafy utafika kikomo.
Hawa watu wamelewa madaraka, wana kibri na dharau sana! Ifike mahali namna yoyoye itumike waondolewe mdarakani wachukuliwe hatua kali za kisheria kwa ubadhirifu wa mali za umma, matumizi mabaya ya madaraka, uhujumu uchumi nk
 
CCM ni kama wanasema "hamthubutu kututoa hata tukiwatukana".

Kule Samia Suluhu kasema mkiwapigia kura au msipowapigia watashinda.

Huyu naye Polepole anakuja na tambo za kishenzi.

Marais wanagawana majumba juu ya majumba.

Wakati wananchi wanaishi kwenye mabanda ya mbwa.

Kwa kweli nyumba za vijijini za Watanzania ukimjengea mbwa wako nchi nyingine unaweza kushitakiwa kwa kumnyanyasa mbwa.
 
Hii clip imenifikirisha kweli maana sijajua kama ni kuwakejeli Watanzania kua wanaishi kifahari kuliko wao?

Ulimbukeni wa H. P baada ya kupata hela na madaraka ?
Au Wa Tz ni makimbikeni kiasi hata hawajui LC V8 ni nini.

Huu ubabe na kujimwambafy utafika kikomo.
Ni kuhusu matumizi ya ruzuku! Vipo vyama haviwezi sema hata kwa bahati mbaya wanatumiaje ruzuku...
 
CCM ni kama wanasema "hamthubutu kututoa hata tukiwatukana".

Kule Samia Suluhu kasema mkiwapigia kura au msipowapigia watashinda.

Hiyu naye Polepole anakuja na tambo za kishenzi.

Marais wanagawana majumba juu ya majumba.

Wakati wananchi wanaishi kwenye mabanda ya mbwa.

Kwa kweli nyumba za vijijini za Watanzania ukimjenge mbwa wako nchi nyingine unaweza kushitakiwa kwa kumnyanyasa mbwa.
Wamevimbiwa madaraka
 
Hii clip imenifikirisha kweli maana sijajua kama ni kuwakejeli Watanzania kua wanaishi kifahari kuliko wao?

Ulimbukeni wa H. P baada ya kupata hela na madaraka ?
Au Wa Tz ni makimbikeni kiasi hata hawajui LC V8 ni nini.

Huu ubabe na kujimwambafy utafika kikomo.
Huyu Haumfrey Polepole anakitumbukiza chama cha Magufuli shimoni
 
Kumtunza na kumuenzi mtu aliyetumikia Taifa kwa miaka 10 katika kazi ngumu kama ya urais wewe unaona si jambo la msingi? Ulitaka taka wa enziwe vipi?
Si aliomba mwenyewe?? Wakati anafanya hiyo kazi ngumu huwa halipwi?? Kwanini umlipe Hadi anapostaafu? Mbaya zaidi mafao yake hayafwati formula ya watumishi wengine. Naye angekuwa analipwa mafao kama watumishi wengine, asingepitisha Sheria kandamizi mana na yeye zingem-tight.

Haya Mambo ya ubinafsi katika maslah ya watumishi ndio yanafanya baadhi ya watumishi waishi km wapo peponi na wengine kuishi km wapo jehanam. Haki Haki Haki
 
Lissu na rais wa mashoga duniani unafikiri ndio watakao weza kumuondoa JPM na CCM madarakani? AU unafikiri propoganda zenu za hili joka/monoster lenye vichwa 7 linaloitwa genge la madui wa Taifa la Tanzania ndio zitafua dafu unajidanganya. Vichwa vingine vikiwa ndani ya Tanzania hapo Tanga kwa mfano. Vingine vikiwa USA na kwengineko vikitena sumu.

Propoganda za kutaka kuchezea sifa bora za Rais JPM za kuwa 'a Very Firm, Decisive and No Soft President' sifa hizi zilizo mfanya JPM awe Rais wa kipekee duniani mnataka kuzichezea. Namkisha zichezea ndio mje kumpigia Lissu kampeni kijanja janja? Mambo ya ajabu sana haya kama yataendelea kuvumiliwa.
Kwahiyo unataka kutuambia JPM akiondoka madarakani nchi itasimama?? Hayo mawazo mgando Sana dada yangu.

Ushaelezwa JPM ataondoka Kwa Kura tarehe 28/10/2020 iwe kwa Heri au Kwa Shari. Achague yeye.

Mambo ya CCM itaondokaje sio hoja iliyombele yetu Kwa Sasa na wala haituumiz kichwa. Nyie wachumia tumbo na watu wa mapambio ya kusifu, JPM akishapigwa Chini wote mtasambaratika na kukihama hicho chama kama ilivyokuwa Kwa wanachama wa KANU. Uliza KANU ilifutikaje kwenye uso wa Dunia??
 
Chadema fedha zote walizo changiwa katika michango mbalimbali kutoka kwa wa fadhili,wananchi, wabunge zote zimeishia kutafunwa. Sasa msiwaoneee wivu CCM, fedha zao wamewekeza katika miradi mbalimbali na Moja ya faida ni ununuzi wa magari. Chadema magari na vifaa vya Chama vyote vinamilikiwa na Mwenyekiti wao.
Walizitumia kujenga chama wenzio ndio maana mnateseka na ma v8 yenu, nyinyi mlikuwa watu wa kugalagala chini,kupiga magoti? hapana ndio hasara ya kuwekeza kwenye vitu na si watu.
Endeleeni kugalagala na bado.
 
Hii clip imenifikirisha kweli maana sijajua kama ni kuwakejeli Watanzania kua wanaishi kifahari kuliko wao?

Ulimbukeni wa H. P baada ya kupata hela na madaraka ?
Au Wa Tz ni makimbikeni kiasi hata hawajui LC V8 ni nini.

Huu ubabe na kujimwambafy utafika kikomo.

Umeweka image na siyo clip
 
Back
Top Bottom