kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,887
- 5,687
Sio kwa muujibu wa katiba babu . ni sheria Fulani ilitungwa mwaka 1999 kama sikosei kama sheria zingine nyingi za ovyo.Ndio upotoshaji tusioutaka huu nyumba ya Kikwete na Marais wengine wastaafu ni kwa mujibu wa katiba ya JMT. Hayo ni mambo ya serkali sio chama cha CCM.