Nilitarajia kuona kila mtanzania amekasirika na kuonyesha hisia zake hasaa kwenye mambo yafuatayo;
Ufisadi
Kwanini kuwachekelea waliopewa mamlaka kusimamia haki za wananchi pamoja na kulinda kuhakikisha hakuna shilingi ya Mtanzania inakwapuliwa na mafisadi?
Anatokea mtu mmoja tu kusema hili lisijadiliwe tena hapa, kwa mamlaka yake, anasema kwa muda atakoona yeye ndio lijadiliwe! Bado tunakenua meno kuchekelea?
Mtu anafamika kabisa kwamba, yeye ni mwizi na fisadi na hana ufanisi wowote, anapewa kuongoza idara ama wizara, tunachekelea tu eti safi sana mteuzi umepiga penyewe!
Ajira zinatoka, kunaibuka jambo kwamba, kiongozi fulani kuweka watu wake pale, katumia mamlaka yake kuchomeka ndugu zake, eti tunakenua meno kuchekelea tuu
Kwa sasa Watanganyika mna kero kubwa ya muungano! Shida inaanzia pale! Wa upande wa pili karibu kila kitu huko Tanganyika ni vyao, ila vyao huko kwao ni vyao pia!
Wa kule wanaweza kuajiriwa Tanganyika, wa Tanganyika nao waajiriwe Tanganyika tu, kule, hapana. Wa kule, wanunue mashamba, viwanja n.k, ila wa Tanganyika, thubutu yao!
Hayo ndio mambo ya kuonyesha sura za watu kwamba, kumbe zimejaa mistari mistari mingi usoni, na sio ya kuchekelea tuu! Hayo, yanapaswa yatulete pamoja kama Taifa moja kuyaweka sawa na hatimaye kusonga mbele.
Ninauhakika haya yakiachwa, wale ambao wameyashikilia kwa magumu wataondoka, watakao baki ndio watakuja kupata tabu sana namna waende.
Tusinune wala kukasirika mahali tunapaswa kufurahi na tusicheke na kufurahi mahali tunapaswa kukunja ndita na kukasirika
Ufisadi
Kwanini kuwachekelea waliopewa mamlaka kusimamia haki za wananchi pamoja na kulinda kuhakikisha hakuna shilingi ya Mtanzania inakwapuliwa na mafisadi?
Anatokea mtu mmoja tu kusema hili lisijadiliwe tena hapa, kwa mamlaka yake, anasema kwa muda atakoona yeye ndio lijadiliwe! Bado tunakenua meno kuchekelea?
Mtu anafamika kabisa kwamba, yeye ni mwizi na fisadi na hana ufanisi wowote, anapewa kuongoza idara ama wizara, tunachekelea tu eti safi sana mteuzi umepiga penyewe!
Ajira zinatoka, kunaibuka jambo kwamba, kiongozi fulani kuweka watu wake pale, katumia mamlaka yake kuchomeka ndugu zake, eti tunakenua meno kuchekelea tuu
Kwa sasa Watanganyika mna kero kubwa ya muungano! Shida inaanzia pale! Wa upande wa pili karibu kila kitu huko Tanganyika ni vyao, ila vyao huko kwao ni vyao pia!
Wa kule wanaweza kuajiriwa Tanganyika, wa Tanganyika nao waajiriwe Tanganyika tu, kule, hapana. Wa kule, wanunue mashamba, viwanja n.k, ila wa Tanganyika, thubutu yao!
Hayo ndio mambo ya kuonyesha sura za watu kwamba, kumbe zimejaa mistari mistari mingi usoni, na sio ya kuchekelea tuu! Hayo, yanapaswa yatulete pamoja kama Taifa moja kuyaweka sawa na hatimaye kusonga mbele.
Ninauhakika haya yakiachwa, wale ambao wameyashikilia kwa magumu wataondoka, watakao baki ndio watakuja kupata tabu sana namna waende.
Tusinune wala kukasirika mahali tunapaswa kufurahi na tusicheke na kufurahi mahali tunapaswa kukunja ndita na kukasirika