Pale tutakapokuwa tumekabidhi maisha yetu kwa Google

Pale tutakapokuwa tumekabidhi maisha yetu kwa Google

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
‘Hi Google, based on everything you know about cars, and based on everything you know about me (including my needs, my habits, my views on global warming, and even my opinions about Middle Eastern politics) – what is the best car for me?’
 
‘Hi Google, based on everything you know about cars, and based on everything you know about me (including my needs, my habits, my views on global warming, and even my opinions about Middle Eastern politics) – what is the best car for me?’
Hahaha google inarahisisha maisha, itafika mahali unamuuliza google akusaidie kuchagua nguo dukani maana huelewi ipi itakupendeza
 
Jana nilikuwa najisikia vibaya ikanibidi nimcheki daktari wangu Google nijue Nini shida...😂
 
Kuna yale maswali ambayo huwa yanaulizwa redioni hapo kwa hapo,unakuta yanakupa nafasi kabisa unaweza hata kugoogle na kupata jibu sema tu hayana zawadi ndio maana naona hayana maana.
 
‘Hi Google, based on everything you know about cars, and based on everything you know about me (including my needs, my habits, my views on global warming, and even my opinions about Middle Eastern politics) – what is the best car for me?’
Kwani google maana yake nini mkuu. Maana tusije tukawa tunawa ingiza watu mkenge bila kujua hapa.
 
Mfano mdogo angalia sasa matumizi ya calculator kwa watoto wa O'Level.

Utasema ni kukua kwa technology ila mtoto anapuguza uwezo wake binafsi na huko mbele hata 2 × 3 watahitaji calculator.

Mambo mengine angalia tunajenga au tunabomoa?
Acheni kujidanganya kwani google ni nini mkuu na kazi yake ni nini
 
Mfano mdogo angalia sasa matumizi ya calculator kwa watoto wa O'Level.

Utasema ni kukua kwa technology ila mtoto anapuguza uwezo wake binafsi na huko mbele hata 2 × 3 watahitaji calculator.

Mambo mengine angalia tunajenga au tunabomoa?
Ni kweli..
 
Je kitafika kipindi kwa mamlaka zetu Kuwa na mfumo wetu wa INTERNET ambao utachuja ama KUZUIA maudhui ya SITES ambazo zinakuwa funded na "mamlaka za nje zinazotupinga"?!!!

Dunia iliyoendelea iko katika USHINDANI wa kutengeneza mifumo ya INTERNET COMPANIES ili wazidi kupaa KIUCHUMI on expenses of us all(developing countries).

Je ni kwa kiwango gani haya makampuni ya INTERNET ya nje yamekuwa yakisukuma AGENDA ya kutubrain wash ili kuendeleza PROPAGATIONS na PROPAGANDA ZAO dhidi ya TAMADUNI na MAISHA YETU KWA UJUMLA?!!!

Je hizi tawala za nje ni kweli zina nia NJEMA....nia RAFIKI ya win-win situation kwa hizi nchi zetu?!!!

Vijana na vizazi tuko mtatizoni maana maisha yanayoonekana MITANDAONI yanavutia mno...ila ni sawa na KEKI iliyotengenezwa kwa "unga wa muhogo" na juu yake ikawekwa ICING SUGAR...

Binadamu si ROBOT....ila kidogokidogo tunatengenezwa tuwe na "roho" za KIROBOTI ambazo hazitoona TIJA YA KUWA HURU kama WAAFRIKA....

Miroboti hiyo ITAJIKANA...

Miroboti hiyo ITAJIKATAA...

Miroboti hiyo ITAJITUSI....

Kazi kwetu vijana wa KIAFRIKA na WANAOTOKA NYONGANI MWETU....


Muuza Al Kasus
Tandale
 
Back
Top Bottom