Pale tutakapokuwa tumekabidhi maisha yetu kwa Google

Pale tutakapokuwa tumekabidhi maisha yetu kwa Google

Ndiyo kazi ya ubunifu na teknolojia hiyo. Na sasa hii AI ndiyo inakuja maliza kila kitu. IBM wana hadi system ya kusaidia wana sheria katika kesi, inauwezo wa kupitia kesi nyingi ndani ya dakika kadhaa, aka quote vifungu na kadhalika. Huku Elon Musk na kundi lake wametengeneza mfum unaoweza kuupa paragraph ya story au kipande cha poem au habari ikakuandikia hata page nzima theme ile ile na usijue kuwa imeandikwa na system.
Kweli ilimu pana
 
Mpaka Tulipo Fika ..Atuna uwezo tena wa Kuzuia nguvu Ya Technology..Dunia inakwenda kupunguza utumiaji wa Nguvu na Akili nyingi kwa Binadamu..
 
Who owns the data?
If we want to prevent the concentration of all wealth and power in the hands of a small elite, the key is to regulate the ownership of data. In ancient times land was the most important asset in the world, politics was a struggle to control land, and if too much land became concentrated in too few hands – society split into aristocrats and commoners. In the modern era machines and factories became more important than land, and political struggles focused on controlling these vital means of production. If too many of the machines became concentrated in too few hands – society split into capitalists and proletarians. In the twenty-first century, however, data will eclipse both land and machinery as the most important asset, and politics will be a struggle to control the flow of data. If data becomes concentrated in too few hands – humankind will split into different species.

The race to obtain the data is already on, headed by data-giants such as Google, Facebook, Baidu and Tencent. So far, many of these giants seem to have adopted the business model of ‘attention merchants’. They capture our attention by providing us with free information, services and entertainment, and they then resell our attention to advertisers. Yet the data-giants probably aim far higher than any previous attention merchant. Their true business isn’t to sell advertisements at all. Rather, by capturing our attention they manage to accumulate immense amounts of data about us, which is worth more than any advertising revenue. We aren’t their customers – we are their product.
I salute you broh
 
Ndiyo kazi ya ubunifu na teknolojia hiyo. Na sasa hii AI ndiyo inakuja maliza kila kitu. IBM wana hadi system ya kusaidia wana sheria katika kesi, inauwezo wa kupitia kesi nyingi ndani ya dakika kadhaa, aka quote vifungu na kadhalika. Huku Elon Musk na kundi lake wametengeneza mfum unaoweza kuupa paragraph ya story au kipande cha poem au habari ikakuandikia hata page nzima theme ile ile na usijue kuwa imeandikwa na system.
Wanasema miaka michache ijayo nchi za wenzetu watakua hawahitaji man power tena maana AI itakua inatumika kutoa huduma karibuni zote, mpaka sasa China inaongoza kwa kutumia AI, tunapoelekea tutakua na dunia iliojaa watu wasio na ajira, full stressed people na itakua ni hatari
 
Google muuni sana kumbe sie ndie tunaempikia taarifa.Kuna wakati nilitoka Dar to Mikumi akaweza ku calculate dakika nitakazo tumia, kimbembe kilianza napoanza toka Mikumi kwenda Ifakara to Mlimba hadi huko Malinyi hakafeli kabisa.
 
Je kitafika kipindi kwa mamlaka zetu Kuwa na mfumo wetu wa INTERNET ambao utachuja ama KUZUIA maudhui ya SITES ambazo zinakuwa funded na "mamlaka za nje zinazotupinga"?!!!

Dunia iliyoendelea iko katika USHINDANI wa kutengeneza mifumo ya INTERNET COMPANIES ili wazidi kupaa KIUCHUMI on expenses of us all(developing countries).

Je ni kwa kiwango gani haya makampuni ya INTERNET ya nje yamekuwa yakisukuma AGENDA ya kutubrain wash ili kuendeleza PROPAGATIONS na PROPAGANDA ZAO dhidi ya TAMADUNI na MAISHA YETU KWA UJUMLA?!!!

Je hizi tawala za nje ni kweli zina nia NJEMA....nia RAFIKI ya win-win situation kwa hizi nchi zetu?!!!

Vijana na vizazi tuko mtatizoni maana maisha yanayoonekana MITANDAONI yanavutia mno...ila ni sawa na KEKI iliyotengenezwa kwa "unga wa muhogo" na juu yake ikawekwa ICING SUGAR...

Binadamu si ROBOT....ila kidogokidogo tunatengenezwa tuwe na "roho" za KIROBOTI ambazo hazitoona TIJA YA KUWA HURU kama WAAFRIKA....

Miroboti hiyo ITAJIKANA...

Miroboti hiyo ITAJIKATAA...

Miroboti hiyo ITAJITUSI....

Kazi kwetu vijana wa KIAFRIKA na WANAOTOKA NYONGANI MWETU....


Muuza Al Kasus
Tandale
Negativity will land you in total DARKNESS!!
 
Jana nilikuwa najisikia vibaya ikanibidi nimcheki daktari wangu Google nijue Nini shida...[emoji23]
Bila shaka dalili alizokuambia Ni za ukimwi[emoji1787]

Google Ina ufala sana
 
Albert Enstein aliwahi sema kwa nini ukalili maformula mengi wakati unaweza tu chukua kitabu na kuangalia hio formula.
Waafrika tunajifanya wajuaji kuliko wazungu walioanzisha vitabu/maktaba kisha wakaacha wakaanzisha internet.
Mleta mada unataka tusigoogle tuwe wajinga kama watu wa zamani ambao walikuwa wanamtukuza msomi.
Sasa hivi anachokijua msomi nawe ambae hujasoma unanafasi ya kukijua hivyo hakuna kubabaishana google ana kila kitu.
 
Wanasema miaka michache ijayo nchi za wenzetu watakua hawahitaji man power tena maana AI itakua inatumika kutoa huduma karibuni zote, mpaka sasa China inaongoza kwa kutumia AI, tunapoelekea tutakua na dunia iliojaa watu wasio na ajira, full stressed people na itakua ni hatari
 
Back
Top Bottom