niseme tu alishinda sababu nilikuja kujua baada ya mwaka na miezi kadhaa,,sasa huo si ushindi[emoji23][emoji28][emoji28][emoji28], Hapo alikuzidi ujanja.. Vipi baadae ulikuja kujua au jamaa alishinda game?
watu hurogwa kwa kulazimisha mrogaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shikilia hapo hapo mkuu, kuna ulichompendea, pesa manajaliwa..atoe wapi mkuu,ushawahi sikia mapenz uchizi?
mbio zimeniokoa ,usinidanganye bwanaShikilia hapo hapo mkuu, kuna ulichompendea, pesa manajaliwa..
Big up
Khaa kumbe ushammwaga? Mawazo yangu upo nae bado! umesema ulichekelea tu.. sawa Rahel mabio πββοΈmbio zimeniokoa ,usinidanganye bwana
nilichekelea=past tenseKhaa kumbe ushammwaga? Mawazo yangu upo nae bado! umesema ulichekelea tu.. sawa Rahel mabio [emoji2088]
yani itakua ni hukumu bila wakili yoyote[emoji1487][emoji1]Nouma sana... Nina imani siku ikija kutokea tena... Hakutakuwa na maelezo kabisa [emoji3][emoji3]
πππππππππMi ilinikuta maandalizi yashakamilika kabisa bado tu kisu kiwekwe kwenye ala, sijui nilijichanganya wapi nikaropoka jina la pisi nyingine
Na bora hata pisi yenyewe ningekuwa naipenda sana ningesema upendo ulinisukuma, ni shetani tu akiamua kufanya yake hakosi sababu
Na asikwambie mtu kuwa demu akilegea unaweza fanya chochote, maana alivyoswitch kutoka kwenye ile mood na kuwa ninja ghafla mpaka leo sipati majibu mademu huwa wanatuigizia au la
Maana nilinyimwa mchezo wakati tayari tupo kwenye suti ya asiliπ