Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Amefuta USAIDHivi ni lini Trump alipinga ushoga tangu aapishwe kuwa raisi?
Njoo na reliable source hapa nasi tujionee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amefuta USAIDHivi ni lini Trump alipinga ushoga tangu aapishwe kuwa raisi?
Njoo na reliable source hapa nasi tujionee
Amefuta USAID
Kama walishindwa kuwahamisha kwa mabomu for 15 months wataweza sasa hviYakiletwa magari ya kuwahamisha viongozi wao ndiyo watakuwa wa kwanza kupanda ili wakae viti vvya mbele
⚡️JUST IN: Hamas leader Izzat al-Rishq:Wabaki Gaza ila wakianzisha ugaidi tena watasagwa bila huruma
Kiongozi wa Hamas Izzat al-Rishq:>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Wanaukumbi.
⚡️🇵🇸🇺🇸BREAKING: Palestine responds to Donald Trump:
“For those who want to send the Palestinian people to a ‘nice place’, allow them to go back to their original homes in what is now Israel…the Palestinian people want to rebuild Gaza because this is where we belong.”
Source: @Palestine_UN
===============
⚡️🇵🇸🇺🇸BREAKING: Palestina inamjibu Donald Trump:
"Kwa wale wanaotaka kuwapeleka watu wa Palestina kwenye 'mahali pazuri', waruhusu warudi kwenye makazi yao ya asili katika eneo ambalo sasa ni Israeli ... watu wa Palestina wanataka kujenga upya Gaza kwa sababu hapa ndipo tunapostahili."
Chanzo: @Palestina_UN
View: https://x.com/suppressednws/status/1886912286591516827?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
😀😀😀
🇺🇸🇮🇱 Hata waandishi wa habari hawaamini wanachosikia
View: https://x.com/dd_geopolitics/status/1886944431888093282?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Msalimie Rais mstaafu 😂😂😂Huu uzi unakuzidi umri bora nenda majukwaa yako ya mipasho au endelea kule uchale chaprin😁
Mashoga yamejaa kila kona Marekani Trump atafute vipi ushoga ni porojo tu. Anzee kufukuza basi mashoga jeshini na kwenye idara za serikali.yTunazungumzia USAID au ushoga?
Marekani na ushoga ni kama pipa na mfuniko
Hakuna raisi wa Marekani mwenye uwezo wa kupinga ushoga Marekani
Aliulizwa wataenda wapi akasema hajui baada ya nchi za kiarabu kumwambia hatutahusika na mipango yeyote kuwaondoa Wapelestina, hoja za kipumbavu sana eti anaenda kutegua mabomu hayo mabomu nani kayarusha Gaza.Eti USA owning that piece of Land ! Yaani mfano uje Dar uhamishe watu kwa nguvu kuwapeleka Rwanda ukasema Dar ni ya kwako .. Huyuhuyu alisema wazungu wanaonewa ..
Sasa hivi ndo naona hittler kuwa aliyajua haya ila ndoto yake tu haikutimiaWabaki Gaza ila wakianzisha ugaidi tena watasagwa bila huruma
Wanaukumbi.
⚡️🇵🇸🇺🇸BREAKING: Palestine responds to Donald Trump:
“For those who want to send the Palestinian people to a ‘nice place’, allow them to go back to their original homes in what is now Israel…the Palestinian people want to rebuild Gaza because this is where we belong.”
Source: @Palestine_UN
===============
⚡️🇵🇸🇺🇸BREAKING: Palestina inamjibu Donald Trump:
"Kwa wale wanaotaka kuwapeleka watu wa Palestina kwenye 'mahali pazuri', waruhusu warudi kwenye makazi yao ya asili katika eneo ambalo sasa ni Israeli ... watu wa Palestina wanataka kujenga upya Gaza kwa sababu hapa ndipo tunapostahili."
Chanzo: @Palestina_UN
View: https://x.com/suppressednws/status/1886912286591516827?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
We kokrochi ya ya kitusi , kupinga ushoga ni msimamo wa waislam tangu dunia kuumbwa so huyo Trump kupinga kwake ushoga kwa maana sawa na uislam hakuhalalishi mambo yake mengine ya kijinga anayotaka kuyafanya gaza, chuki yako dhidi ya uislam na waislam ni sawa sawa tu na chuki yako dhidi ya wakongoman kule goma, nakusoma sana mabandiko yako, watusi mna roho mbaya sana nyie mbwaSisi Wagalatia Trump anatusaidia kupinga ushoga
Hao hawawataki, ila watawapokea tu watake wasitake na watatoa hela ya kuijenga GazaKuwahamisha kuwapeleka wapi?😀
Misri, Jordon, Saudia Arabia, Qatar, Syria wote wamemwambia Trump sisi hatuwezi kuhusika kwa namna yeyote ile kiwaondoa Wapelistina kwenye nchi yao.
Trump alivyokuwa punguani anaomba hawagawe kwenye hayo mataifa kisha Gaza wakakee Waisrael
😀😀
Kama ana nia njema alete ndege hawapakie hawapeleke Miami, Washington.