Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
⚡️BREAKING: Taarifa kwa Vyombo vya Habari Imetolewa na Harakati ya Upinzani wa Kiislamu (Hamas):Imagine 🤣
⚡️BREAKING: Nchi za Umoja wa Ulaya zimekataa Mipango ya Trump ya kuwasafisha kikabila Wapalestina.hao wote ni waarabu wa jordan, misri, syria, n.k, wapo hadi weusi kama wasomali, unamkumbuka yule aliyekuwa anamburuza myahudi wa kike october 7 alikuwa mweusi kabisa kama msomali.
Huyu Trump ni kichaa kuliko Biden. Anadhani atawatisha Hamasi eti kapeleka wale mercenaries kule Gaza 🤣😀😀😀
🇺🇸🇮🇱 Hata waandishi wa habari hawaamini wanachosikia
View: https://x.com/dd_geopolitics/status/1886944431888093282?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Chizi kaulizwa na muandishi wa habari vipi kama Jordan na Misri wakigoma kuwachukua unafanyaje? Hawawezi kugoma 😄😄Huyu Trump ni kichaa kuliko Biden. Anadhani atawatisha Hamasi eti kapeleka wale mercenaries kule Gaza 🤣
Huyu Trump ni kichaa kuliko Biden. Anadhani atawatisha Hamasi eti kapeleka wale mercenaries kule Gaza 🤣
Hawa jamaa wanadhani watu wote wajinga. Yupo na muuwaji kisha analani mauaji
Kabla ya mauaji ya kimbari, Gaza ilikuwa na watu milioni 2.3.
Sasa? milioni 1.7.
Waliua watu 600,000 ... na wanajua.
Mojawapo ya mauaji mabaya zaidi katika historia yalifanyika kwa wakati halisi mbele ya macho yetu.
View: https://x.com/adamemedia/status/1886922346746831056?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Trump piga Kichwani bado Anapumua
Hawapakie..Kuwahamisha kuwapeleka wapi?😀
Misri, Jordon, Saudia Arabia, Qatar, Syria wote wamemwambia Trump sisi hatuwezi kuhusika kwa namna yeyote ile kiwaondoa Wapelistina kwenye nchi yao.
Trump alivyokuwa punguani anaomba hawagawe kwenye hayo mataifa kisha Gaza wakakee Waisrael
😀😀
Kama ana nia njema alete ndege hawapakie hawapeleke Miami, Washington.
Kwani kubomolewa kulisababishwa na nini au una mihemko kama wenzioWewe una umri gani? Vita vya Gaza vimeanza Oct 7?