Palestina yasitisha mahusino yote baina yake na Israel na Marekani

Palestina yasitisha mahusino yote baina yake na Israel na Marekani

Jirekebisheni, wazungu mmewafanya miungu wakati wanakutambueni nyie ni sokwe tu. Hivi huoni kuwa wametudharau sana! Mbona waarabu hawatufananishi na majina ya ajabu ajabu kama ninyi mnavyofananishwa na mabeberu! Nyie viumbe wa ajabu mnoo
Waislael ni wazungu!? Halafu Mimi sikufanya ushabiki kwa yeyote. Mimi nilijaribu tu kusema ukweli. Wafilisti wanapaswa kuiachia nchi ya watu.
 
In short hiyo Vita ya Palestine na Israel ni Vita iliyopanngwa na na mungu kabisa. Kwa sababu tukisoma maandiko matakatifu yanasema sauli aliambiwa aue wamareki woote asiache
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mungu mwenye upendo wote anapanga viumbe wake wauane!!.. mungu wa namna hiyo simtaki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waislael ni wazungu!? Halafu Mimi sikufanya ushabiki kwa yeyote. Mimi nilijaribu tu kusema ukweli. Wafilisti wanapaswa kuiachia nchi ya watu.


Hata kama co wazungu, lakini ndio wanakutambua wewe ni sokwe usie na thamani hata chembe kwao,,,tangu lini myahudi akawa mzuri kwako! Tatizo lenu mnapenda kujipendekeza mpaka mnapewa majina ya ajabu ajabu, hao hao mashoga zako hawamtambui Mungu wako Yesu, pia wanaikana ukristo,,,zindukeni!

Unasema "Wafilisti wanapaswa kuiachia nchi ya watu" una uhakika gani ardhi hiyo ni ya wayahudi? Nyie ndiomaana hamuendelei kwa roho zenu, na misukosuko mingi huwapata alafu mnasema mmerogwa.
 
Back
Top Bottom