kama mturuki angekuwa anapeleka misaaada ya ijeshi israeli basi tungesema kituWaislamu akili zenu ni kama mende mbona lilitokea tetemeko pale uturuki likaua watu zaidi ya 2000 na maelfu ya mali ziliharibika hamkusema wanapewa adhabu na mungu pale Saudia watu walikanyagana pale kwenye kile kijumba wakafa watu maelfu nako walipewa adhabu na Nani?
usijitoe akili ho moto sio wa kawaida,tena ktk nchi kama USA,hiyo ni fimbo tu za matako na pengine kuna mengi majanga yajaWatu kweli akili ndogo sana hasa unapoacha itawaliwe na imani za kidini. Na lile tetemeko la Bukoba pia ilikuwa ni adhabu au yale yanayotokea kule Iran 👇👇
List of earthquakes in Iran - Wikipedia
Ujinga na Upumbavu unawasumbua Gaza watu 46,000 na huko marekani moto umeteketeza misitu na nyumba waliokufa ni 10 huko misitu itapandwa na nyumba zitajengwa kwa mwaka mmoja tu huko Gaza uhai wa hao marehem utarudishwa vipi??? Hata hivyo hakuna uhusiano kati ya Gaza na janga la moto huko Marekani. Gaza magaidi waliua watu Oct 07,2023 na sasa wanavuna walichopanda.
Ujinga na Upumbavu unawasumbua Gaza watu 46,000 na huko marekani moto umeteketeza misitu na nyumba waliokufa ni 10 huko misitu itapandwa na nyumba zitajengwa kwa mwaka mmoja tu huko Gaza uhai wa hao marehem utarudishwa vipi??? Hata hivyo hakuna uhusiano kati ya Gaza na janga la moto huko Marekani. Gaza magaidi waliua watu Oct 07,2023 na sasa wanavuna walichopanda.
Echolima1 Tusiingize mambo ya dini sana kwanza waisrael si waislam wala si wakristo so wewe na mimi hatuna haki ya kuwadefend kivyovyote maana wewe ukienda kule na dini yako hawakutambui na wanamtukana huyo yesu mtukufu (mtukufu issa mwana wa maryam a. S) kusema ni mtoto
Unadanganyika na vi - Clip uchwara ambavyo hujui hata maana yake. Anasema 1948 walifukuzwa wapalestina 750,000 kwa nini? Hajakueleza kwa nini!!
Unadanganyika na vi - Clip uchwara ambavyo hujui hata maana yake. Anasema 1948 walifukuzwa wapalestina 750,000 kwa nini? Hajakueleza kwa nini!!
Hujui kitu dogo. Wakubwa wako watakuelezea vizuri.usichanganye forest fire na mji kupigwa kiberiti
Lete hoja za kueleweka unaniletea vi-clip vya Propaganga wajinga tu na wapumbavu ndiyo wataviamini Lete FACTS siyo porodo kama hiziKama vile huelewi , kweli wagalatia mko na brainless
View: https://www.youtube.com/watch?v=pMECi3OLac0&t=5s&pp=ygUccmFiYmkgbWl6cmFjaGkgb24gY2hyaXN0aWFucw%3D%3D
Hili ndilo tatizo lenu Wafuga Midevu na Majini mnaokoteza vi-clip ambavyo hata ukiambiwa uvielezee huwezi Niki ku uliżą swali kuhusu hivyo vi-clip uchwara huwezi kunijibu. Njoo na hoja hizo clip zwie ni nyongeza tu.
Hili ndilo tatizo lenu Wafuga Midevu na Majini mnaokoteza vi-clip ambavyo hata ukiambiwa uvielezee huwezi Niki ku uliżą swali kuhusu hivyo vi-clip uchwara huwezi kunijibu. Njoo na hoja hizo clip zwie ni nyongeza tu.
Lete hoja za kueleweka unaniletea vi-clip vya Propaganga wajinga tu na wapumbavu ndiyo wataviamini Lete FACTS siyo porodo kama hizi
Ngoja NIK-upe somo nani alikuambia kuwa Waisrael si Wakristo wala si waislamu? Pili kwa nini unasema huna haki kuwa defend? Nani aliyekudanganya kuwa wakristo wakienda huko hawatambuliwi? Na wanamtukana huyo Yesu wanasema ni Mwana wa haramu?. Najua huwezi kunijibu sasa mimi nimeamua nikupe somo. Kwanza huko Israel kuna wakristo na waislamu wengi tu tena kuna zaidi ya waarabu million mbili Pili Oct 07,2023 waarabu waliua waisrael 1,200 na wakabaka na kuteka watu wasio na hatia kwa hali hiyo kwa nini wewe usiwa defend? Kama kweli Una utu? Tatu umesema kuwa wakristo wakienda huko hawatambuliwi kitu ambacho si kweli hapa nchi kila leo wakristo wanaenda huko kuhiji na wanapokelewa na maeneo hayo yanatunzwa na kulindwa na hao hao waisrael ambao wewe unadai hawawatambui. Huo ni uongo unaoenezwa na Wafuga Midevu na Majini wenzako huko kuna makanisa mengi tu. Tatizo lako umemezeshwa uongo na waarabu na wewe unakuja kujianika hapa na unaonekana kuwa wewe ndiyo mjinga kabisa!!!Echolima1 Tusiingize mambo ya dini sana kwanza waisrael si waislam wala si wakristo so wewe na mimi hatuna haki ya kuwadefend kivyovyote maana wewe ukienda kule na dini yako hawakutambui na wanamtukana huyo yesu mtukufu (mtukufu issa mwana wa maryam a. S) kusema ni mtoto wa haramu,
Ujinga mtupu je amekueleza kwa nini Waliambiwa waondoke? Unafikiri kwa nini hasemi sababu?
Hayo ni maoni yake je alipokuwa rais alifanya ya nini?
Kunywa dawa ya panya ukamuulize kaburini 😛😛Hayo ni maoni yake je alipokuwa rais alifanya ya nini?
Ujinga mtupu je amekueleza kwa nini Waliambiwa waondoke? Unafikiri kwa nini hasemi sababu?
Ngoja NIK-upe somo nani alikuambia kuwa Waisrael si Wakristo wala si waislamu? Pili kwa nini unasema huna haki kuwa defend? Nani aliyekudanganya kuwa wakristo wakienda huko hawatambuliwi? Na wanamtukana huyo Yesu wanasema ni Mwana wa haramu?. Najua huwezi kunijibu sasa mimi nimeamua nikupe somo. Kwanza huko Israel kuna wakristo na waislamu wengi tu tena kuna zaidi ya waarabu million mbili Pili Oct 07,2023 waarabu waliua waisrael 1,200 na wakabaka na kuteka watu wasio na hatia kwa hali hiyo kwa nini wewe usiwa defend? Kama kweli Una utu? Tatu umesema kuwa wakristo wakienda huko hawatambuliwi kitu ambacho si kweli hapa nchi kila leo wakristo wanaenda huko kuhiji na wanapokelewa na maeneo hayo yanatunzwa na kulindwa na hao hao waisrael ambao wewe unadai hawawatambui. Huo ni uongo unaoenezwa na Wafuga Midevu na Majini wenzako huko kuna makanisa mengi tu. Tatizo lako umemezeshwa uongo na waarabu na wewe unakuja kujianika hapa na unaonekana kuwa wewe ndiyo mjinga kabisa!!!