Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 875
- 633
Huo ndiyo ujinga uliojazwa vichwani mwenu!!Uliona wapi hao watu waliobakwa ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndiyo ujinga uliojazwa vichwani mwenu!!Uliona wapi hao watu waliobakwa ??
Ujinga na Upumbavu unawasumbua Gaza watu 46,000 na huko marekani moto umeteketeza misitu na nyumba waliokufa ni 10 huko misitu itapandwa na nyumba zitajengwa kwa mwaka mmoja tu huko Gaza uhai wa hao marehem utarudishwa vipi??? Hata hivyo hakuna uhusiano kati ya Gaza na janga la moto huko Marekani. Gaza magaidi waliua watu Oct 07,2023 na sasa wanavuna walichopanda.
Huo ndiyo ujinga uliojazwa vichwani mwenu!!
Kumbuka uturuki wana tatizo hilo la natural earthquake kama Japan India vile vileKwani hukuona uturuki kuna majengo yalikuwa yamesimama katikati ya majengo yaliyodondoka mbona haikukufikirisha?
Huo ni ulevi tu wa dini ndio unaokusumbua toka lini wewe ukawa nabii.usijitoe akili ho moto sio wa kawaida,tena ktk nchi kama USA,hiyo ni fimbo tu za matako na pengine kuna mengi majanga yaja
watu ni wajinga sana, wanaamini moto ule ni mungu wao amechoma kwa kosa la Gaza, allah hana huo uwezo, moto wa california sana sana naweza amini kwa mbali ni mambo ya dhambi za ushoga na usagaji, ila sio suala la gaza. mungu wa kiarabu hana uwezo wa kuchoma hata kipande cha nguo tu.
Kama kweli ni mwandishi nguli atakunywa akapate kujua ukweli sisi tunasubilia majibu!!!Kunywa dawa ya panya ukamuulize kaburini 😛😛
Endeleeni kujifariji lakini haitawasaidia chochote!!Kama kweli ni mwandishi nguli atakunywa akapate kujua ukweli sisi tunasubilia majibu!!!
Mungu wako nani tuanzie apo!!!watu ni wajinga sana, wanaamini moto ule ni mungu wao amechoma kwa kosa la Gaza, allah hana huo uwezo, moto wa california sana sana naweza amini kwa mbali ni mambo ya dhambi za ushoga na usagaji, ila sio suala la gaza. mungu wa kiarabu hana uwezo wa kuchoma hata kipande cha nguo tu.
Ndiyo umeandika kitu gani?Endeleeni kujifariji lakini haitawasaidia chochote!!
Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo (Israel) ambaye wala sio allah wa kiarabuMungu wako nani tuanzie apo!!!
Siye yule aliyezaliwa na mwanamke akacheza na watoto wenzake ??Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo (Israel) ambaye wala sio allah wa kiarabu
Kama unafuatilia mambo dini basi hebu fuatilia vzr...unaandika tu almradiMungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo (Israel) ambaye wala sio allah wa kiarabu
Bora ukifa umeacha pesa. Sasa baki hai na miaka yako 71 kisha anza kuzisaka hizo pesa uone kama utazipata..Mali zinatafutwa, uhai ukiyeya haurudi.
Tena kazaliwa na govi lkn mbaya zaid kala samaki kwamaana Mungu amekula kiumbe wake HATARI na nusu!!Siye yule aliyezaliwa na mwanamke akacheza na watoto wenzake ??
Etiii Kwa wanao aminiMiji inaungua bila Bomu hata moja wala drones wala ndege za kivita
Kweli hilo ni onyo kwa wanaoamini
Ndio maana likatumika hilo nenoEtiii Kwa wanao amini
Ni kweli kabisa.Yale yale waliowafanyia wapalestina na wao yanawakuta.Mungu mwacheni aitwe mungu ndani ya macho yetu tunaona nguvu za mungu yale yale wanayofadhili kule GAZA sasa nawao wanapisha hospital pengine kuna magaidi wamejificha umo hospitalini wagojwa wanatolewa!!! Aisee apana wapalestina wataogopwa son tu ata waisrael watakimbia ukweli utajidhiili marekani inaadhibiwa kwa matendo yake!!! Aijawai kuwa ktk historia yote ya marekani huu ni mkono wa mungu,
Hata huko Palestina,waliuliwa watoto,wanawake,wazee,hawahusiki na vita.Hii sasa inajilipa.Sasa mzee hiyo karma inawapata hata wasiohusika, maana hilo janga linawatandika raia wasio na maamuzi yoyote, pia kuna wageni wasio wamarekani.
Hii imani yenu haijakaa sawa kabisa, kufurahia majanga sio kitu kizuri, ni ukatili na roho mbaya. Mungu wenu ndio anawaruhusu mfurahie shida za wengine??