Ni kawaida manabii kutokukubalika kwao. Lipi linalotokea kwenye kuelekea chaguzi za 2024/25 kuwa ni jipya leo?
Kwamba walienguliwa wagombea, kukavurugwa kampeni, wakakamatwa wapinzani, nk?
Kwamba yote hayo ni marudio ya 2019/20?
Kwani hoja na makelele ya nguvu yalipotamalaki, hatukuahidiana kukumbushana ikifika leo?
Waombwe waheshimiwa wanaolia lia sasa kukaa kwa kutulia.
Kwamba hiyo ni sehemu muhimu kwenye kuchagua kucheza pata potea!
Kwamba walienguliwa wagombea, kukavurugwa kampeni, wakakamatwa wapinzani, nk?
Kwamba yote hayo ni marudio ya 2019/20?
Kwani hoja na makelele ya nguvu yalipotamalaki, hatukuahidiana kukumbushana ikifika leo?
Waombwe waheshimiwa wanaolia lia sasa kukaa kwa kutulia.
Kwamba hiyo ni sehemu muhimu kwenye kuchagua kucheza pata potea!