Palikuwa na uamuzi na miito ya kutokushiriki chaguzi bila katiba mpya. Ya nini kulia lia sasa?

Chama B kuridhia matakwa ya chama A na baadaye kulalamika, ndipo ulipo msingi wa hoja.

Ukiridhiana na chama A kwa misingi yoyote, kulikoni kulia lia yakikukuta yanayojulikana?
Ndio mkuu, hapo wanachotakiwa kukifanya Chama B ni kua tu nyuma ya Chama A yaan waache tu of Chama A ndio watabakia kua waamuzi wa nani awepo na nani asiwepo kwa hio Chama B wala hawana haja ya kulialia kwa sababu wameridhia hilo wenyewe wanachotakiwa kufanya ni kuridhia tu kile walichoridhia na kusema tumeridhia tuwe nje huku tu na Chama A ndio kiendelee kuongoza na kutawala simple tu km hivyo wala haiitaji kuumiza sana kichwa kwenye jambo km hilo ambalo lipo wazi hakuna msimamizi wa Chama A ambae ataruhusu mgombea kupitia Chama B ashinde uchaguzi, nimemaliza
 

Kwa hakika kupanga ni kuchagua na mtu huwezi kutaka kuvuna maharage hali umepanda bangi.
 
Kwa hakika kupanga ni kuchagua na mtu huwezi kutaka kuvuna maharage hali umepanda bangi.
Kesi ya Nyani huwezi ukampelekea Ngedere ndugu yake na Tumbili wa Chama A ambae amewekwa na Chama A kwenye mahakama husiku unategemea Tumbili amfunge Tumbili mwenzie au amuhukumu tofauti na uongozi wa Tumbili na Chama A?
 
Wapinzani wanajua fika kwa katiba hii akuna anaye toboa ila wameamua kushiriki ili wapate jukwaa tu lakutema nyongo zao ila hawatambulia chochote
 
hujui dunia ,mbona sio mda ccm yatawatokea puani ,mda mwalim
 
Kesi ya Nyani huwezi ukampelekea Ngedere ndugu yake na Tumbili wa Chama A ambae amewekwa na Chama A kwenye mahakama husiku unategemea Tumbili amfunge Tumbili mwenzie au amuhukumu tofauti na uongozi wa Tumbili na Chama A?

Kesi ya nyani kala mahindi, hakimu ngedere: "hukumu itataka binadamu kupewa mbolea akazalishe cha kula cha kutosha kwa wote."
 
Hii umeandikwa wapi?

Mshitakiwa: Nyani

Kosa: Wizi, kula mahindi mabichi.

Mlalamikaji: Binadamu.

PP: Ngedere. nyani au binadamu.

Hakimu: Ngedere.

Hukumu: Kuna atakayekwenda Segerea hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…