Royal Warrior
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 1,166
- 2,143
Leta hiyo videoHabari wapenzi
Katika pitapita zangu nmekutana na video youtube inaelekeza namna ya kujitazama mkono wako ukatambua utazaa watoto wangapi, wangapi wa kike ,wangapi wa kiume. Ndoa nk
Sasa mmejitazama mkono wangu wala hauna vijistari hivyo vya watoto walivyovielekeza..
wakuu mnaofahamu elimu ya mikono kwahiyo inamaanisha sitapata mtoto, maana sina mtoto kwa sasa
Karibuni.
Bahati mbaya mimi sio muslim [emoji30] Shirki ni ninikama wewe ni muislamu, kitendo cha kwenda kwa huyo "mbashiri" anaeangalia alama za mikono na kusikiliza huo ubashiri wake, basi sala zako za siku 40 hazikubaliwi.
hapo umeenda na kusikiliza tu. ukiamini ulichoambiwa na huyo "mbashiri" basi utakua umefanya shirki, na itabidi utubie kwa mola wako. kama hujaenda bado nakushauri usiende.
23kati ya 21-25
Hana cha kufanyia mijitusi ndio maana watoto anawatafutia viganjaniUsihangaishwe na mambo ya walimwengu...
Tafuta mwenza, fanyeni matusi, subirini matokeo...
Cc: mahondaw
I'm coming my sweetbaby
Akhaa
Umeolewa kwani ?Habari wapenzi
Katika pitapita zangu nmekutana na video youtube inaelekeza namna ya kujitazama mkono wako ukatambua utazaa watoto wangapi, wangapi wa kike ,wangapi wa kiume. Ndoa nk
Sasa mmejitazama mkono wangu wala hauna vijistari hivyo vya watoto walivyovielekeza..
wakuu mnaofahamu elimu ya mikono kwahiyo inamaanisha sitapata mtoto, maana sina mtoto kwa sasa
Karibuni.