Palmistry: Mkono wangu hauna mistari ya watoto

Palmistry: Mkono wangu hauna mistari ya watoto

kama wewe ni muislamu, kitendo cha kwenda kwa huyo "mbashiri" anaeangalia alama za mikono na kusikiliza huo ubashiri wake, basi sala zako za siku 40 hazikubaliwi.

hapo umeenda na kusikiliza tu. ukiamini ulichoambiwa na huyo "mbashiri" basi utakua umefanya shirki, na itabidi utubie kwa mola wako. kama hujaenda bado nakushauri usiende.
 
Habari wapenzi
Katika pitapita zangu nmekutana na video youtube inaelekeza namna ya kujitazama mkono wako ukatambua utazaa watoto wangapi, wangapi wa kike ,wangapi wa kiume. Ndoa nk
Sasa mmejitazama mkono wangu wala hauna vijistari hivyo vya watoto walivyovielekeza..
wakuu mnaofahamu elimu ya mikono kwahiyo inamaanisha sitapata mtoto, maana sina mtoto kwa sasa
Karibuni.
Leta hiyo video
 
kama wewe ni muislamu, kitendo cha kwenda kwa huyo "mbashiri" anaeangalia alama za mikono na kusikiliza huo ubashiri wake, basi sala zako za siku 40 hazikubaliwi.

hapo umeenda na kusikiliza tu. ukiamini ulichoambiwa na huyo "mbashiri" basi utakua umefanya shirki, na itabidi utubie kwa mola wako. kama hujaenda bado nakushauri usiende.
Bahati mbaya mimi sio muslim [emoji30] Shirki ni nini
 
Habari wapenzi
Katika pitapita zangu nmekutana na video youtube inaelekeza namna ya kujitazama mkono wako ukatambua utazaa watoto wangapi, wangapi wa kike ,wangapi wa kiume. Ndoa nk
Sasa mmejitazama mkono wangu wala hauna vijistari hivyo vya watoto walivyovielekeza..
wakuu mnaofahamu elimu ya mikono kwahiyo inamaanisha sitapata mtoto, maana sina mtoto kwa sasa
Karibuni.
Umeolewa kwani ?
Tuanzie hapo
 
Back
Top Bottom