Du aiseeWajinga sana aiseeeeee. Kapu la kuongezea point Simba na Yanga
Tajiri mmoja ashaongeza sehemu ya kupata point zake 6Wajinga sana aiseeeeee. Kapu la kuongezea point Simba na Yanga
Sijawahi ona timu yenye maamzi ya aina hii, labda tuwape muda tukijaliwa uzima tutaona mbivu au mbichiBaada ya timu ya Pamba United kutoka Mwanza kufanikiwa kupanda kwenye Ligi Kuu ya NBC mwaka 2024/25 wameamua kutemana na wachezaji wake wote.
Hii imetolewa leo na msemaji wao, kwa kudai wamemalizana mikataba na wachezaji wote so wanaanza usajili kuanzia namba 1. Pia wanapiga chini bench la ufundi.
Kweli kabisaHata viongozi walio pandisha timu wameliwa vichwa kifupi ni kwamba Pamba ina msimu mmoja ligi kuu then inarudi ilipotoka
usaliti huoBaada ya timu ya Pamba United kutoka Mwanza kufanikiwa kupanda kwenye Ligi Kuu ya NBC mwaka 2024/25 wameamua kutemana na wachezaji wake wote.
Hii imetolewa leo na msemaji wao, kwa kudai wamemalizana mikataba na wachezaji wote so wanaanza usajili kuanzia namba 1. Pia wanapiga chini bench la ufundi.
Hiyo imeshashuka daraja kabla hawajaanza kucheza mechi yoyote ya ligi kuu.Baada ya timu ya Pamba United kutoka Mwanza kufanikiwa kupanda kwenye Ligi Kuu ya NBC mwaka 2024/25 wameamua kutemana na wachezaji wake wote.
Hii imetolewa leo na msemaji wao, kwa kudai wamemalizana mikataba na wachezaji wote so wanaanza usajili kuanzia namba 1. Pia wanapiga chini bench la ufundi.
Kama wamemalizana basi hakuna ubayaBaada ya timu ya Pamba United kutoka Mwanza kufanikiwa kupanda kwenye Ligi Kuu ya NBC mwaka 2024/25 wameamua kutemana na wachezaji wake wote.
Hii imetolewa leo na msemaji wao, kwa kudai wamemalizana mikataba na wachezaji wote so wanaanza usajili kuanzia namba 1. Pia wanapiga chini bench la ufundi.
Kwanini mkuu?Hiyo imeshashuka daraja kabla hawajaanza kucheza mechi yoyote ya ligi kuu.