Pamba United: Baada ya kupanda Ligi Kuu, wamepiga chini wachezaji wote

Pamba United: Baada ya kupanda Ligi Kuu, wamepiga chini wachezaji wote

Safi sana WANA TP LINDANDA, kila kitu tunaiga ulaya nafikiri hata ulaya wanafanya hivyo
 
Kati ya wachezaji 20+ pamoja na benchi la ufundi hakuna waliofanya vizuri? Au Kazi yao ilimshawishi mmiliki kuongeza mkataba?
Nb. Binafsi siliamini hilo.labda anajua mbinu alizozitumia kushinda, ndio maana anaona hakuna anayefaa kuongezewa mkakataba.
Pale Mashujaa mwanzoni walitaka kutumia wengi waliopandishwa ligi , mechi nyingi walikuwa wanapoteza, wakafumua kikosi ila waliopandishwa ligi wapo 3 wanaoanza kikosi cha kwanza, kuna badi beki, Germanus mshambuliaji na wameonyesha uimara na magoli walikuwa wanafunga.
 
Haiwezekani timu nzima mikataba yawachezaji iishe msimu moja.swali ni moja,,je wasingepanda wangesema kuwa mikataba imesha muda wake..it's a shame.
 
Baada ya timu ya Pamba United kutoka Mwanza kufanikiwa kupanda kwenye Ligi Kuu ya NBC mwaka 2024/25 wameamua kutemana na wachezaji wake wote.

Hii imetolewa leo na msemaji wao, kwa kudai wamemalizana mikataba na wachezaji wote so wanaanza usajili kuanzia namba 1. Pia wanapiga chini bench la ufundi.
Kwa juujuu unawaleza walaumu ila mimi naona kupanda kwao daraja wanajua wao viongozi walivyopanda.
Rushwa ni adui wa haki.
 
Maamuzi ya ajabu sana haya, nadhani ile shauku na spirit ya upambanaji waliyoitumia hadi kupanda ligi kuu ingewasaidia mno kwenye ligi, sasa wamepiga chini wote ngoja tuone itakavyokuwa.
 
Hili ni kosa kubwa la kiufundi litakaloigharimu timu yetu pendwa ya Kanda ya ziwa TP LINDANDA MAZEMBE KAWEKAMO.
 
Safi sana ... Kama mkataba umekwisha tunamalizana ... Ahsante kwa kunifikisha safari yangu
 
Kati ya wachezaji 20+ pamoja na benchi la ufundi hakuna waliofanya vizuri? Au Kazi yao ilimshawishi mmiliki kuongeza mkataba?
Nb. Binafsi siliamini hilo.labda anajua mbinu alizozitumia kushinda, ndio maana anaona hakuna anayefaa kuongezewa mkakataba.
Pamba ni timu ya wananchi kama zilivyo Simba na Yanga, nadhani ukitoa Simba na Yanga ndo timu kubwa ya 3 inayofatia, wachezaji wake kwa ligi kuu wanatakiwa kuwa na hadhi.
 
Kila kitu ni ujuaji na siasa kwa wingi


Tushapata chimbo la point 6 na goli saba
 
Pamba ni timu ya wananchi kama zilivyo Simba na Yanga, nadhani ukitoa Simba na Yanga ndo timu kubwa ya 3 inayofatia, wachezaji wake kwa ligi kuu wanatakiwa kuwa na hadhi.
Angefanya kama tabora mbona alisajili wachezaji wazuri akiwa championship


Wanachokifanya hawa wasukuma ni ujuaji tuu
 
Kama ni hadhi ya ligi kuu mbona kuna wachezaji huwa wanasajiliwa na timu za ligi kuu, baada ya kufanya vizuri ligi daraja la kwanza, na hucheza vyema tu. Tena mara nyingi timu zilizoshika nafsi ya kwanza hadi ya tatu championship huwa na vijana wazuri tu
Tusubiri Muda maana ndio msema ukweli.
 
Palankatumba mpakataaa palakachaa palakachiii chubwaa chubwiii ndio mwisho wa Pyu PU Pamba United, PUnited
 
HAo wachezaji woote na hilo benchi la ufundi kwa pamoja watengeneze timu ipande tena tuone kama walibahatisha au lah. Au wote waende toto africa ili nayo ipande.
 
Back
Top Bottom