Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Unaweza kukuta wachezaji wafalme wameweka masharti magumu ambayo hayatekelezeki!Haiwezekani timu nzima mikataba yawachezaji iishe msimu moja.swali ni moja,,je wasingepanda wangesema kuwa mikataba imesha muda wake..it's a shame.