The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Mbunge wa mioyo ya wananchi wakeMwenyekiti wa Bavicha hopeless kabisa, hakubaliki hata mtaani kwao huko Butimba
Kwani UVCCM ni niniBavicha ni nini kwani,?
Mimi naona hopeless ni wasimamizi wasaidizi tu na wao ndio umaskini wetu,ndio vikikwazo cha mafanikio yetu na ndio sababu ya kuwa gizani.Mwenyekiti wa Bavicha hopeless kabisa, hakubaliki hata mtaani kwao huko Butimba
Wasimamizi wanaonesha mapenzi ya wazi kwa chama XMimi naona hopeless ni wasimamizi wasaidizi tu na wao ndio umaskini wetu,ndio vikikwazo cha maganikio yetu na ndio sababu ya kuwa gizani.
Ndio maana uwenyekiti wa kanda alitoswa!Mwenyekiti wa BAVICHA taifa John Pambalu katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa, kata ya Pamba, Mahina, Butimba, Igogo na Mabatini.
"Tangu nimezaliwa sijawahi ona mama aliyefiwa anakuwa na nguvu za kwenda kwa jirani halafu anakuwa tu anaelekeza kwa Tweet nunueni jeneza, nendeni mkazike nk ilihali ule msiba unamuhusu. Sijawahi kuona mama wa hivi duniani isipokuwa huyu tuliye naye"
View attachment 3157083
Ielewe hoja yake ndo uje kucoment tenaKwani wanawake wanabeba majeneza na kuzika siku hizi? au ndio kuishiwa hoja
Halafu wakati huo huo wanajidai kuchukia X huku gizani wao na hiyo ni wamojaWasimamizi wanaonesha mapenzi ya wazi kwa chama X
Tutaona mengiHalafu wakati huo huo wanajidai kuchukia X huku gizani wao na hiyo ni wamoja
Kabisa, hakuna la maana zaidi ya kuzungusha kichwa kama yale mandege yanaitwa "balwe" Au "kimilanzoka"Ndio maana uwenyekiti wa kanda alitoswa!
Kwani UVCCM ni nini
Wananchi tukiona zinatufaa tunaenda nao tuHizi ndio hoja zitakazo wawezesha CHADEMA kuchukua nchi 2025😊
Kipi chama tawala cha maana walichonacho hasa mpaka uite wengine wajingaAcha kufananisha Chama Tawala na vitu vya kijinga