The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Yeye ana ajira gani ya maana zaidi ya utovu wa nidhamu alonao 🐒Mwenyekiti wa Baraza la Vijana CHADEMA taifa John Pambalu akiwa mkoani mwanza wakati wa kufanya kampeni kuwanadi wagombea wa chama chake kuelekea uchaguzi serikali za mitaa amesema vijana wamesoma mpaka vyuo vikuu lakini hawana ajira, ajira za zo ni mbili akiwataja bodaboda na wanaofanya michezo ya kubahatisha 'betting'View attachment 3159362
Soma pia: Vijana wahitimu wa Vyuo Vikuu wanataka nani awapambanie?
Chanzo: Arusha zone news
Anafanya siasaYeye ana ajira gani ya maana zaidi ya utovu wa nidhamu alonao 🐒
Na wengine si wanafanya kazi ya bodaboda? mbona anababaika na kazi za wengine sasa 🐒Anafanya siasa
Hao vijana wa kenya wanamitaji-hizo ziara za kutafuta fursa zinahitaji fedhaMiaka 30 ijayo ndio itatuonesha madhara. Rasilimalu za uzalishaji bado zipo nyingi sana tatizo vijana tumebaki na ujinga wa kuajiriwa na uvivu wa kuizunguka hii nchi.
Wengi wa vijana wasomi wapo maeneo ya jiji na manispaa hawataki kabisa kufika vijijini na visingizio vyetu ni vyakijinga sana.
Ni kawaida kukuta kijana msomi ila hajawahi kuuzunguka ukanda wowote wa hii nchi kwenda kuangalia fursa na namna atavyoitumia elimu yake na bado tunataka kupambana soko la Afrika Mashariki na Kusini.
Vijana tuamke, tuzunguke hii nchi yetu. Haiwezekani vijana wageni kutoka hapo Kenya wakaijua Tanzania kuliko sisi vijana wenyeji.
Wamesomea ujinga na upumbavu.Huko chuo kikuu wamesomea nini? 🐼
Haihitaji fedha nyingi kama inavyoweza kudhaniwa. Nitakupa mfano, mimi niliizunguka kanda ya kaskazini pamoja na ukanda wa kati kwa fedha wastani wa Tshs. 400,000/-Hao vijana wa kenya wanamitaji-hizo ziara za kutafuta fursa zinahitaji fedha
Na hao vijana wa kenya ni wachache wengi wao wanabangaiza hawana kazi ndo maana Rais wao anawatafutia kazi nje ya nchi kama qatar
Watu hawawezi kuwa na mtazamo wa maisha kama wewe na maisha sio marahisi hivyoHaihitaji fedha nyingi kama inavyoweza kudhaniwa. Nitakupa mfano, mimi niliizunguka kanda ya kaskazini pamoja na ukanda wa kati kwa fedha wastani wa Tshs. 400,000/-
Kama graduate atashindwa kukysanya fedha kwa mwaka akapata Tshs. 600,000/- anatakiwa ajitafakari sana, alienda shule kufanya nini.
Tuambiane ukweli, tuache kupeana visababu ili kujipooza. Graduate asiyeweza kukusanya Tsh. 600,000/- kwa mwaka huyo ni mzigo kwa jamii na taifa kwa ujumla.
Serikali haitengenezi mazingira yeyote alafu unawalaumu graduateWamesomea ujinga na upumbavu.
Mkuu tusijipooze kwa visingizio vya jumla. Ni graduate wangapi wana hayo majukumu mazito? Graduate walioanzisha familia baada ya chuo sidhani hata kama wanafika 10% na kama mtu alianza familia akiwa hana uhakika wa uchumi wake nao ni upumbavu mwingine (tusiuongelee)Watu hawawezi kuwa na mtazamo wa maisha kama wewe na maisha sio marahisi hivyo
Kuna-watu wengi wanaingiza zaidi ya laki 6 lakin hawawezi kusave sababu wanamajukumu mengi wengine wana wazazi wagonjwa wanatakiwa wawaangalie na mengineyo
Kwani yeye kawalaumu graduates? Msome tena. CCM ni washenzi, wao ndiyo wanaolaumiwa kwa kushindwa kuyatengengeneza mazingira ya ajira kwa wahitimu.Serikali haitengenezi mazingira yeyote alafu unawalaumu graduate
Naweza sema wewe ndo mjinga na mpumbavu
Degree za akina Mwijaku 🐼Wamesomea ujinga na upumbavu.
Unataka mazingira gani zaidi ya hii amani iliyopo na huu uhuru wakuzurura sehemu yoyote ndani ya Taifa hili?. Yapo maeneo ardhi ekari 1 unauziwa na halmashauri ya kijiji kwa Tshs. 50,000/- hadi hata chini ya hapo na hayo maeneo yapo tu wazi mapori.Serikali haitengenezi mazingira yeyote alafu unawalaumu graduate
Naweza sema wewe ndo mjinga na mpumbavu