The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana CHADEMA taifa John Pambalu akiwa mkoani mwanza wakati wa kufanya kampeni kuwanadi wagombea wa chama chake kuelekea uchaguzi serikali za mitaa amesema vijana wamesoma mpaka vyuo vikuu lakini hawana ajira, ajira za zo ni mbili akiwataja bodaboda na wanaofanya michezo ya kubahatisha 'betting'
Soma pia: Vijana wahitimu wa Vyuo Vikuu wanataka nani awapambanie?
Soma pia: Vijana wahitimu wa Vyuo Vikuu wanataka nani awapambanie?
Chanzo: Arusha zone news