Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
huyo mchizi wako mweupe tu,anakutana na vibonde ndio maana,hana skills zaid ya fujo fujo,wahuni watakuja kumuua ulingoni siku moja ohooooFury kastahili kushinda ilo halina mjadala ila kusema wilder si bondia mzuri nashindwa kukuelewa, it means wilder mapambano yote aliyoshinda kapendelewa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Fid Q hakua mjinga alivoimba "akupigae ngumi ya sikio nawe mpige ya jicho akikuuliza unajiskiaje na wewe muulize unaonaje"😁😁😁Ila ile ngumi ya sikio sio poa kabisa.Sikio linauma ndugu zangu.Halafu changanya na kelele zile
Mkuu sikio lisikie tu...kuna sikio na Jicho..unaweza toa Ulimi njeNafikiri "damage" aliyoipata kwenye sikio imechangia kwa kiasi kikubwa Wilder kubondwa, sikio lina kazi kubwa sana kwenye kufanya mtu uwe na "balance" nzuri.
Mkuu acha kabisa sikio ni balaa kubwa sanaFid Q hakua mjinga alivoimba "akupigae ngumi ya sikio nawe mpige ya jicho akikuuliza unajiskiaje na wewe muulize unaonaje"😁😁😁
YeahIle ngumi ya sikio imemletea matatizo mno na hata uko hospital kapelekwa kuangalia lile sikio
Sent using Jamii Forums mobile app
Ali figisu nyingi??Huyo Ali figisu nyingi....labda hilo pambano la Lewis... Mmarekani acha atandikwe tu
Kwako hadi bondia awe mzuri anakuwa amefika vigezo vipi??Fury kastahili kushinda ilo halina mjadala ila kusema wilder si bondia mzuri nashindwa kukuelewa, it means wilder mapambano yote aliyoshinda kapendelewa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah we jamaa weweBalance ya miguu ipo kichwani, ukiona hivyo jua kuna nyundo imetua kwenye fuse.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku wilder akijichanganya kwa AJ atachezea vitasa "power without control brings damage" jamaa hana akili kabisa
Kama yule baunsa wa harmonize na mwarabu fighter wanajiona kama shoziniga vile kumbe hata kupanda mlima kilimanjaro hadi Kibo tu mtihani😂😂😂Kawaida ya wabongo wengi wenye muscles,huwa wanajiamini kupita kiasi kwa sababu ya kusifiwa na visichana vya mtandaoni,bila kujua kwenye uhalisia hadithi ni tofauti sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mapambano alipelekwa sema bac tuAli figisu nyingi??
Hebu ziseme hizo figisu mkuu
Pamoja na kushinda Fury nae apunguze kupiga roba anapiga roba sana, halafu kuna kipindi kama alionesha kuchoka hivi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakumbuka rematch ya Rahman vs Lewis, Rahman alipigwa mpaka akawa analia ulingoniCooper alipigwa na Muhammad Ali tena kwenye ardhi ya Uk.
Hapo ilikuwa ni Wimbley.
Rahman akaja kumtandika Lewis. Kichapo chake kilishtua ulimwengu wa masumbwi
Kwenye boxing ni skills tuu.
Hakuna cha muingereza wala mmarekani
Kuna boxers huwa wanatokea kwa msimu.Unakumbuka rematch ya Rahman vs Lewis, Rahman alipigwa mpaka akawa analia ulingoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Urefu unapelekea kuwa na Reach kubwa yaani urefu mkubwa zaidi wa mkono, Ukijua kutumia Reach kubwa vizuri ni faidaNilaambiwaga kwenye ndondi MTU akiwa mrefu kuku ana nafasi kubwa ya kukushinda,,,,mfano Lewis vs Mike Tyson.
Sent using Jamii Forums mobile app
Joshua anamuogopa sana Fury ,anamkimbia kimbia kila siku.hili pambano nasikia antony joshua ameloga sana ile furry ashinde, maana joshua anamuogopa sana wilder, joshua atampiga kirahisi furry
Nasikia ngoma ya sikio imepasuka vibayaIle ngumi ya sikio imemletea matatizo mno na hata uko hospital kapelekwa kuangalia lile sikio
Sent using Jamii Forums mobile app