Pambano la Kidunda na Asemale Majaji wa Tanzania msituharibie pambano

Pambano la Kidunda na Asemale Majaji wa Tanzania msituharibie pambano

Mwakinyo si anataka mabondia wa kimataifa? Basi huyu anamfaa kama uzito unaruhusu...muone mtoto wa kitanga atavyokimbia
 
Kajamaa kadogo ila kanakiwashaa balaaaa...

Nashauri kidunda apambane kama MKALI WAO VS YUSUF MLELA 😊😊😂😂

Hii fight ya MKALI WAO na YUSUF MLELA 😊🤓 NIMECHEKA SANAAAA

MLELA ALICHEZEA NGUMI ZA MTAANI 😊😊
 
Kidunda ajikaze tu asipoteze kwa KO maana mpaka sasa hakuna maajabu atayoweza kufanya kupata ushindi.
 
Kidunda ajikaze tu asipoteze kwa KO maana mpaka sasa hakuna maajabu atayoweza kufanya kupata ushindi.
Watagonga kengele bado sekunde 20 nakwambia na Kidunda ndio Mshindi [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom