Pambano la Kidunda na Asemale Majaji wa Tanzania msituharibie pambano

Pambano la Kidunda na Asemale Majaji wa Tanzania msituharibie pambano

themagnificient

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
1,033
Reaction score
3,720
Kwa msiojua keaho kutakuwa na pambano la ngumi Kati ya Seleman kidunda na Asemalle Wellem wa South Africa,Huyu Asemalle ndio alitoka kumchapa juzi hapo Twaha kiduku ni moja ya mabondia wazuri sana

Nachoomba majaji wa Tanzania mpunguze mbeleko kubeba beba watu hivyo hata wakupigwa, Tunataka pambano la haki

================

[emoji115][emoji115][emoji115]

Niliyotoka kuyasema juzi yametimia pambano zima kudunda kachakazwa ila majaji wamesema ni Draw[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom