Uchaguzi 2020 Pambazuko la kipenga cha mwisho sehemu ya pili

Kwahiyo leo hii musiba naye analia kufanyiwa rough.. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji123]

Jr[emoji769]
Tuwaombee polisi Roho Mtakatifu awaingie ili watii Sheria badala ya kumtii mwanasiasa
 
Mkuu mshanar au umechungulia ile kafara ya forojo ganze hawajaienzi???kwamba kafara itafanyika kuwa anguko la ccm kufidia uzembe huo????Hebu nipe picha nishuhudie maajabu haya nije niwasimulie wajukuu wangu nikizeeka!!!
Maagizo ilikuwa kila mwaka lifanyike ili akili za watu ziendelee kulala Kama kaburi
 
IN 2020 OCTOBER YOU WILL GET THE REASON TO CHOOSE 2022!You will understand as things unfold!
 
Pingamizi pingamizi ,ni wazi CCM watamwekea pingamizi.Kwanini huwezi kusoma mchezo mchafu?
 
Alichonifanyia EL wakati ule bado sijasahau.
 
Halafu cha ajabu wanaojitapa kupendwa na kukubalika nchi nzima ndio ambao hawalali.
 
Itakuwa hivyo, Sasa kila sehemu hakuna aliye huru. Wote hofu tu.

Lissu rudi ili tukupigie kura
 
Mara nyingi tabiri zako umekuwa ukiangukia pua..!!
Tuone mara hii nafikiri utaanguka jicho kabisa..[emoji28]
Wenyewe wanakuambia chichiemu ni ileile ooh ni ileile..

Tusubiri tuone maajabu ya huyu mlozi


Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…