Pamoja na kukandamizwa sana kwanini wanachama wa upinzani nchini Tanzania bado wamejawa na furaha tele?

Pamoja na kukandamizwa sana kwanini wanachama wa upinzani nchini Tanzania bado wamejawa na furaha tele?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hili ni jambo linalonishangaza sana ! na kwa kweli naomba mwenye kujua siri ya hili anifahamishe.

Wanachama na viongozi wa upinzani kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita wamenyanyaswa kuliko miaka yote ya ukoloni nchini Tanganyika enzi zile, wameteswa , wamepotezwa, wamepigwa risasi, wamefungwa, wamebaguliwa, wamebezwa, wametukanwa kila aina ya matusi na kufanyiwa kila unyama, lakini mbona bado wana furaha? Kwanini?
 

Attachments

  • Kinachoendelea sasa hivi Katika Kijiji cha - Mahambe, Wilaya ya Ikungi. Kwa msi ( 640 X 640 ).mp4
    9.1 MB
Hili ni jambo linalonishangaza sana ! na kwa kweli naomba mwenye kujua siri ya hili anifahamishe .

Wanachama na viongozi wa upinzani kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita wamenyanyaswa kuliko miaka yote ya ukoloni nchini Tanganyika enzi zile , wameteswa , wamepotezwa , wamepigwa risasi , wamefungwa , wamebaguliwa , wamebezwa , wametukanwa kila aina ya matusi na kufanyiwa kila unyama , lakini mbona bado wana furaha ? kwanini ?
Wameahidiwa bata na Lissu... Ila sisi na JPM tunakula kuku tu huku tukipiga kazi

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Hili ni jambo linalonishangaza sana ! na kwa kweli naomba mwenye kujua siri ya hili anifahamishe .

Wanachama na viongozi wa upinzani kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita wamenyanyaswa kuliko miaka yote ya ukoloni nchini Tanganyika enzi zile , wameteswa , wamepotezwa , wamepigwa risasi , wamefungwa , wamebaguliwa , wamebezwa , wametukanwa kila aina ya matusi na kufanyiwa kila unyama , lakini mbona bado wana furaha ? kwanini ?
Maccm tulikuwa tunayachora tu, na yenyewe yakahisi tumeyaelewa, shenjiiiii
 
Hili ni jambo linalonishangaza sana ! na kwa kweli naomba mwenye kujua siri ya hili anifahamishe .

Wanachama na viongozi wa upinzani kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita wamenyanyaswa kuliko miaka yote ya ukoloni nchini Tanganyika enzi zile , wameteswa , wamepotezwa , wamepigwa risasi , wamefungwa , wamebaguliwa , wamebezwa , wametukanwa kila aina ya matusi na kufanyiwa kila unyama , lakini mbona bado wana furaha ? kwanini ?
Maccm tulikuwa tunayachora tu, na yenyewe yakahisi tumeyaelewa, shenjiiiii
 
Hili ni jambo linalonishangaza sana ! na kwa kweli naomba mwenye kujua siri ya hili anifahamishe .

Wanachama na viongozi wa upinzani kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita wamenyanyaswa kuliko miaka yote ya ukoloni nchini Tanganyika enzi zile , wameteswa , wamepotezwa , wamepigwa risasi , wamefungwa , wamebaguliwa , wamebezwa , wametukanwa kila aina ya matusi na kufanyiwa kila unyama , lakini mbona bado wana furaha ? kwanini ?
Sisi tunakula vya halali. Tuna shughuli zetu binafsi za kutuingizia vipato. Tunalima, tunafanya umachinga. Hatutegemei uchawi, dhulma, mauwaji kupata vipato. Tuna amani na dhamiri zetu ni safi
 
Asante tumekaribishwa virtually vyema kijijini Unyahati Singida, Tanzania. Watu wasiojulikana wabaya sana, Mh. Tundu Lissu lazima tusherehekee uzima wako kila tunapokutana nawe.

 
Asilimia kubwa mnafurahia.. wengine sio wanachama.. bali ni mafisadi na wahujumu uchumi wenzenu.. ni muvi tu mkijuwa siku ya siku.. tena muvi lenu musisahau tutawakumbusha.. mupo vidunchu mnajifurahishaaaaa.. tumewazoea porojo na kutunga uongo.. kama hii hakunwa purufu 😛.. lazima Magufuli ✅
 
August 9 2020
Singida, Tanzania

Toka Tundu Lissu arejee nchini tarehe 27 Julai 2020 waTanzania wanatabasamu

[SUP][/SUP]
 
Asilimia kubwa mnafurahia.. wengine sio wanachama.. bali ni mafisadi na wahujumu uchumi wenzenu.. ni muvi tu mkijuwa siku ya siku.. tena muvi lenu musisahau tutawakumbusha.. mupo vidunchu mnajifurahishaaaaa.. tumewazoea porojo na kutunga uongo.. kama hii hakunwa purufu [emoji14].. lazima Magufuli [emoji736]
Project yako ya

Makonda oyeeee iliishia wapi ?

Au pumzi ishakata
 
Asilimia kubwa mnafurahia.. wengine sio wanachama.. bali ni mafisadi na wahujumu uchumi wenzenu.. ni muvi tu mkijuwa siku ya siku.. tena muvi lenu musisahau tutawakumbusha.. mupo vidunchu mnajifurahishaaaaa.. tumewazoea porojo na kutunga uongo.. kama hii hakunwa purufu 😛.. lazima Magufuli ✅
Uso umekushuka kwa aibu. Umesema sana ooh Lissu harudi, akirudi anafikia segerea or sijui nyoko. Sasa karudi na Life linaendelea. Wachawi roho zinawauma.
 
Asante tumekaribishwa virtually vyema kijijini Unyahati Singida, Tanzania. Watu wasiojulikana wabaya sana, Mh. Tundu Lissu lazima tusherehekee uzima wako kila tunapokutana nawe.


Watu wote hawa ndio wale wale wa facebook?? Chadema ya mitandao ya kijamii.😅😅😅
 
Hili ni jambo linalonishangaza sana ! na kwa kweli naomba mwenye kujua siri ya hili anifahamishe.

Wanachama na viongozi wa upinzani kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita wamenyanyaswa kuliko miaka yote ya ukoloni nchini Tanganyika enzi zile, wameteswa , wamepotezwa, wamepigwa risasi, wamefungwa, wamebaguliwa, wamebezwa, wametukanwa kila aina ya matusi na kufanyiwa kila unyama, lakini mbona bado wana furaha? Kwanini?
Bila kujali kama nakubaliana na heading ya post yako au la, this is one of the best vidio clips niliyopata kuiona mwaka huu! Inaeleza mengi. Imejaa hisia kali za upendo, ubinadamu na Utukufu wa Mungu Muumba

Natamani kama kuna uwezekano waione watu wengi zaidi. Waione watu wa Dodoma waliomsindikiza hospitali siku ile ya kuogofya sana. Waione madaktari wake waaliompatia matibabu pale Nairobi, waione madaktari wake waliomtibia kule Brussels, waione woote walioguswa na ule ukatili dhidi ya huyu jamaa na zaidi waione wale waliotaka kudhulumu roho yake na Mungu Akawakatalia
 
Asante tumekaribishwa virtually vyema kijijini Unyahati Singida, Tanzania. Watu wasiojulikana wabaya sana, Mh. Tundu Lissu lazima tusherehekee uzima wako kila tunapokutana nawe.


Lissu toka aingie nchini taifa lina amani.
 
Back
Top Bottom