Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Mkia weweIngawa mimi sio Simba ila worldwide the Mark of Champions is Winning even when Playing Badly....
Game ya janamnaona mmecheeeza...haya na ile ya mlandege?Dah kwa game ya jana bado unapata nguvu za kuandika utumbo huu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Safi Sana,hii inaitwa makavu laivu.1.Kwani Manula si mchezaji wa Simba?
2.Umehesabu pia mipira aliyozuia kipa wa Namungo?
3.Unajua msemo wa, "mpira ni mchezo wa makosa"?
4.Namungo walishindwa kuzuia mashambulizi ya timu yenye kiwango dhaifu, je sasa hao Namungo wao kiwango chao kilikuaje?
5.Hutaki mashabiki wa Simba washangilie ushindi wa timu yao?
6.Tatizo ni Simba au Azam?
Acha kujificha kwenye shamba la karanga.
Akikujibu naomba unitagKwa Iyo miaka yote minne simba walikua wanacheza vibaya
Mpira sio chenga ni magoliNamungo hawakuwa makini kwenye lile shambulio lililozaa goli la kwanza laiti kama wangefaulu kuzuia shambulio lile la mapema saa hizi tungekua tunaongea mengine
Tukumbuke Aishi ameokoa mipira ya hatari kati ya miwili au mitatu ambayo ilikua ikielekea langoni mwa simba..lakini bahati haikua kwao Namungo...lkn kwa mchezo ule hata Simba angepigwa tu
Sasa leo mtaani kelele zimekua nyingi sana...wamesahau siku 50 hivi zilizopita watu walifurahia na kushangilia draw wiki nzima hapa,ki ukweli bado kiwango kidogo sana simba...eti leo wanamsifia sakho wakati juzi tu walikua na mpango wa kumfukuza
Tusiongee sana tukutane kwenye FA na NBC Premier League.
Eti kiufundi simba iko bora kuliko yanga,,lakini siwezi kukukatalia maana ushasema wewe ndo unaamini ivyo Kama shabiki wa simba na sio Kama mtu anaejua mpira, kuna tofauti ya mtu anaejua mpira na shabiki wa timu fulani ukiwaambia wayachambue mambo kiufundi utapata pumba na mchele!Kiufundi bado naamini simba ni timu bora sana kuliko Yanga.. Sio kwa sababu tu Jana waliwafunga Azam.. Nope. Ila haimanishi Yanga hawawezi kubeba ubingwa bado mbio zipo wazi sana. Ila huwezi kuibeza simba inakuaje tishio kadiri siku zinavosonga..
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Azam walitukamia. Bila hivyo tungewafunga bao nyingi sana. Halafu ushindi wa penalt nao ni ushindi?
Namungo hawakuwa makini kwenye lile shambulio lililozaa goli la kwanza laiti kama wangefaulu kuzuia shambulio lile la mapema saa hizi tungekua tunaongea mengine
Tukumbuke Aishi ameokoa mipira ya hatari kati ya miwili au mitatu ambayo ilikua ikielekea langoni mwa simba..lakini bahati haikua kwao Namungo...lkn kwa mchezo ule hata Simba angepigwa tu
Sasa leo mtaani kelele zimekua nyingi sana...wamesahau siku 50 hivi zilizopita watu walifurahia na kushangilia draw wiki nzima hapa,ki ukweli bado kiwango kidogo sana simba...eti leo wanamsifia sakho wakati juzi tu walikua na mpango wa kumfukuza
Tusiongee sana tukutane kwenye FA na NBC Premier League.
Kama sio ushindi, kwa nini unaweweseka?Azam walitukamia. Bila hivyo tungewafunga bao nyingi sana. Halafu ushindi wa penalt nao ni ushindi?
Kama sio ushindi, kwa nini unaweweseka?
Sasa umepost utumbo gani huuNamungo hawakuwa makini kwenye lile shambulio lililozaa goli la kwanza laiti kama wangefaulu kuzuia shambulio lile la mapema saa hizi tungekua tunaongea mengine
Tukumbuke Aishi ameokoa mipira ya hatari kati ya miwili au mitatu ambayo ilikua ikielekea langoni mwa simba..lakini bahati haikua kwao Namungo...lkn kwa mchezo ule hata Simba angepigwa tu
Sasa leo mtaani kelele zimekua nyingi sana...wamesahau siku 50 hivi zilizopita watu walifurahia na kushangilia draw wiki nzima hapa,ki ukweli bado kiwango kidogo sana simba...eti leo wanamsifia sakho wakati juzi tu walikua na mpango wa kumfukuza
Tusiongee sana tukutane kwenye FA na NBC Premier League.
Kazi ya kipa pale golini Ni nini mkuu ndugu yangu.Namungo hawakuwa makini kwenye lile shambulio lililozaa goli la kwanza laiti kama wangefaulu kuzuia shambulio lile la mapema saa hizi tungekua tunaongea mengine
Tukumbuke Aishi ameokoa mipira ya hatari kati ya miwili au mitatu ambayo ilikua ikielekea langoni mwa simba..lakini bahati haikua kwao Namungo...lkn kwa mchezo ule hata Simba angepigwa tu
Sasa leo mtaani kelele zimekua nyingi sana...wamesahau siku 50 hivi zilizopita watu walifurahia na kushangilia draw wiki nzima hapa,ki ukweli bado kiwango kidogo sana simba...eti leo wanamsifia sakho wakati juzi tu walikua na mpango wa kumfukuza
Tusiongee sana tukutane kwenye FA na NBC Premier League.
Ulitaka Manula naye afungwe 9 ndio ufarijike?Namungo hawakuwa makini kwenye lile shambulio lililozaa goli la kwanza laiti kama wangefaulu kuzuia shambulio lile la mapema saa hizi tungekua tunaongea mengine
Tukumbuke Aishi ameokoa mipira ya hatari kati ya miwili au mitatu ambayo ilikua ikielekea langoni mwa simba..lakini bahati haikua kwao Namungo...lkn kwa mchezo ule hata Simba angepigwa tu
Sasa leo mtaani kelele zimekua nyingi sana...wamesahau siku 50 hivi zilizopita watu walifurahia na kushangilia draw wiki nzima hapa,ki ukweli bado kiwango kidogo sana simba...eti leo wanamsifia sakho wakati juzi tu walikua na mpango wa kumfukuza
Tusiongee sana tukutane kwenye FA na NBC Premier League.