Pamoja na Kushinda Bado Simba Kiwango Kipo Chini

Pamoja na Kushinda Bado Simba Kiwango Kipo Chini

Inaonekana kutaka kujamba sana ila ghafla umeacha vipi tena mtani? Bora ungejamba kabisa timu gani hiyo inayofungwa ila inacheza juu ya kiwango. Timu zote zimeonja maumivu ya kufungwa isipokuwa 1 tu. Waliosema mwaka 2022 Simba itaanza kugungwa atakapocheza na Azam,maajabu Azam ndio waliowafunga wao. What goes around is what comes around.
 
1.Kwani Manula si mchezaji wa Simba?
2.Umehesabu pia mipira aliyozuia kipa wa Namungo?
3.Unajua msemo wa, "mpira ni mchezo wa makosa"?
4.Namungo walishindwa kuzuia mashambulizi ya timu yenye kiwango dhaifu, je sasa hao Namungo wao kiwango chao kilikuaje?
5.Hutaki mashabiki wa Simba washangilie ushindi wa timu yao?
6.Tatizo ni Simba au Azam?
Acha kujificha kwenye shamba la karanga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Safi Sana,hii inaitwa makavu laivu.
 
Namungo hawakuwa makini kwenye lile shambulio lililozaa goli la kwanza laiti kama wangefaulu kuzuia shambulio lile la mapema saa hizi tungekua tunaongea mengine

Tukumbuke Aishi ameokoa mipira ya hatari kati ya miwili au mitatu ambayo ilikua ikielekea langoni mwa simba..lakini bahati haikua kwao Namungo...lkn kwa mchezo ule hata Simba angepigwa tu

Sasa leo mtaani kelele zimekua nyingi sana...wamesahau siku 50 hivi zilizopita watu walifurahia na kushangilia draw wiki nzima hapa,ki ukweli bado kiwango kidogo sana simba...eti leo wanamsifia sakho wakati juzi tu walikua na mpango wa kumfukuza

Tusiongee sana tukutane kwenye FA na NBC Premier League.
Mpira sio chenga ni magoli
 
Kiufundi bado naamini simba ni timu bora sana kuliko Yanga.. Sio kwa sababu tu Jana waliwafunga Azam.. Nope. Ila haimanishi Yanga hawawezi kubeba ubingwa bado mbio zipo wazi sana. Ila huwezi kuibeza simba inakuaje tishio kadiri siku zinavosonga..

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Eti kiufundi simba iko bora kuliko yanga,,lakini siwezi kukukatalia maana ushasema wewe ndo unaamini ivyo Kama shabiki wa simba na sio Kama mtu anaejua mpira, kuna tofauti ya mtu anaejua mpira na shabiki wa timu fulani ukiwaambia wayachambue mambo kiufundi utapata pumba na mchele!
 
Namungo hawakuwa makini kwenye lile shambulio lililozaa goli la kwanza laiti kama wangefaulu kuzuia shambulio lile la mapema saa hizi tungekua tunaongea mengine

Tukumbuke Aishi ameokoa mipira ya hatari kati ya miwili au mitatu ambayo ilikua ikielekea langoni mwa simba..lakini bahati haikua kwao Namungo...lkn kwa mchezo ule hata Simba angepigwa tu

Sasa leo mtaani kelele zimekua nyingi sana...wamesahau siku 50 hivi zilizopita watu walifurahia na kushangilia draw wiki nzima hapa,ki ukweli bado kiwango kidogo sana simba...eti leo wanamsifia sakho wakati juzi tu walikua na mpango wa kumfukuza

Tusiongee sana tukutane kwenye FA na NBC Premier League.

Mbona hutaki kusema Simba wamekosa nafasi ngapi?
 
matatizo kaanzisha azam analaumiwa simba. Nasema hivii, azam alaaniwe....
 
Namungo hawakuwa makini kwenye lile shambulio lililozaa goli la kwanza laiti kama wangefaulu kuzuia shambulio lile la mapema saa hizi tungekua tunaongea mengine

Tukumbuke Aishi ameokoa mipira ya hatari kati ya miwili au mitatu ambayo ilikua ikielekea langoni mwa simba..lakini bahati haikua kwao Namungo...lkn kwa mchezo ule hata Simba angepigwa tu

Sasa leo mtaani kelele zimekua nyingi sana...wamesahau siku 50 hivi zilizopita watu walifurahia na kushangilia draw wiki nzima hapa,ki ukweli bado kiwango kidogo sana simba...eti leo wanamsifia sakho wakati juzi tu walikua na mpango wa kumfukuza

Tusiongee sana tukutane kwenye FA na NBC Premier League.
Sasa umepost utumbo gani huu
 
Namungo hawakuwa makini kwenye lile shambulio lililozaa goli la kwanza laiti kama wangefaulu kuzuia shambulio lile la mapema saa hizi tungekua tunaongea mengine

Tukumbuke Aishi ameokoa mipira ya hatari kati ya miwili au mitatu ambayo ilikua ikielekea langoni mwa simba..lakini bahati haikua kwao Namungo...lkn kwa mchezo ule hata Simba angepigwa tu

Sasa leo mtaani kelele zimekua nyingi sana...wamesahau siku 50 hivi zilizopita watu walifurahia na kushangilia draw wiki nzima hapa,ki ukweli bado kiwango kidogo sana simba...eti leo wanamsifia sakho wakati juzi tu walikua na mpango wa kumfukuza

Tusiongee sana tukutane kwenye FA na NBC Premier League.
Kazi ya kipa pale golini Ni nini mkuu ndugu yangu.

Kwahiyo Namungo kupiga mashuti Manula aka okoa basi simbay Ni mbovu.

Kwani Manula kuokoa so ndio ubora wenyewe wa Simba au mm nawaza tofauti.

Ili ushinde mechi unakuwa makini kuzitumia nafasi na kutumia makosa ya mpinzani wako.

Ubora wa Simba ndiyo chanzo cha Namungo KUSHINDWA kuhimili na kufanya makosa na hatimaye kuadhibiwa. Sasa Simba inakuwaje haina kiwango bora. Au kushinda mechi nao ni udhaifu.

Nb: Siku zote timu bora ndiyo inayopata matokeo mazuri. Namaanisha anayeondoka na point 3 ndiye bora.

Utopolo km Utopolo huwa hamnaga akili. Au nsema uongo ndugu zangu?
 
Namungo hawakuwa makini kwenye lile shambulio lililozaa goli la kwanza laiti kama wangefaulu kuzuia shambulio lile la mapema saa hizi tungekua tunaongea mengine

Tukumbuke Aishi ameokoa mipira ya hatari kati ya miwili au mitatu ambayo ilikua ikielekea langoni mwa simba..lakini bahati haikua kwao Namungo...lkn kwa mchezo ule hata Simba angepigwa tu

Sasa leo mtaani kelele zimekua nyingi sana...wamesahau siku 50 hivi zilizopita watu walifurahia na kushangilia draw wiki nzima hapa,ki ukweli bado kiwango kidogo sana simba...eti leo wanamsifia sakho wakati juzi tu walikua na mpango wa kumfukuza

Tusiongee sana tukutane kwenye FA na NBC Premier League.
Ulitaka Manula naye afungwe 9 ndio ufarijike?
 
Back
Top Bottom