Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwanja unauzwa,basi na gari la DED liuzwe ngoma droo!Basi mwambie unauzwa.
Duh!Umeandika vizuri sana . Na mimi nimeandika mara kadhaa kwamba ishu siyo kufuata taratibu bali ni maamuzi. Huwezi kuamua kununua gari ya milioni 460 kwa hela za barrick huku watoto wakikaa chini shuleni. Yaani baba wewe ununue gari huku watoto wako hawana chakula wala mahali pa kulala! Upumbavu wa kiwango cha phd
Hili Taifa haliwezi kusimama Tena kwasababu sisi wananchi hatuko tayari kulinusuru halafu waletulio waamini nao wanatuangushaEe Mola tunaomba ulinusuru hili Taifa. Kama ni hivyo kweli, tuna shida kubwa. Ni kama Taifa lililoja MASHETANI.