Pamoja na kuwa na kalenda yao, na dunia kuwa na AI kuweza kutengeneza kalenda isiyofugamana na imani hizi kwanini waislam hutumia kalenda ya kikristo?

Khawarizmi kuwa baba wa algorithms haiifanyi algorithms kuwa islamic,julian calendar ya Julius Caeser (hakuwa mkristu) iliyorekebishwa na gregory,haina ukristu wowote
Ahahahahaha! Na kitimoto hakina uharamu wowote maana kinaliwa na watu wote hadharani na kifichoni sio? Ahahahahaha!!
 
Calendar ya kiislam ipo. Na sahivi inasoma miaka ya 1500 kama sikosei. Calendar hii unayosema ya kikiristo imekuwa formal jnatumika katika mfumo wa maisha ya kisasa. Na tumeshatoka kwemye BC-Before Christ na sasa tunatumia BCE-Before the Common era.. unajua kwa nn?
 
Imani gani?..hivi ulichoandika kina-make sense!?.. nguruwe na kalenda vinaingiliana vipi?
Unachotakiwa kujua The Gregorian Calendar ni kalenda ya Kanisa Moja Katoliki la Mitume. Nchi zo Ulaya kipindi kile zilikuwa zinaongozwa na Kanisa. Hivyo wakalazimika kuitumia hiyo kalenda ya Kanisa Moja Katoliki la Mitume na kuifanya kalenda rasmi ya serikali zao. Sasa wewe unatoa povu eti sio ya Kikatoliki! Unafikiri kwasababu na wa dini zengine wanaitumia na kuacha kutumia zao kunaiondolea uhalali wa kutokuwa ya Kanisa Moja Katoliki la Mitume? Ahahahahaha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…