Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
ahahaha!hata mimi sijamuadress mjukuu mtiifu...
nimemuadress yule aliyezungumziwa kwenye gazeti la bang
Aisee Teamo mbona unamchakachua mjukuu wangu mtiifu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahahaha!hata mimi sijamuadress mjukuu mtiifu...
nimemuadress yule aliyezungumziwa kwenye gazeti la bang
i want them them to learn that sex is good for them too...
they are not doing us any favor...lol
Maisha ni kuchagua, kuna sababu zinakufanya uchague hayo maisha, zaweza kuwa mbaya au nzuri. But zina nguvu ya kutosha kuushawishi moyo wako uchague kuishi either single or married.
Na mpaka unafikia kuamua hivo, unakuwa umeshajipanga na kuikubali hiyo hali, wakati wengine wanapigania na kulinda ndoa zao wewe unapigana na kuulinda usingle wako, ukivumilia changamoto unazokutana nazo, ukivumilia karaha za upweke kama wanavyovumilia karaha za ndoa.
Kwa mimi binafsi ninavyoona kama kweli umefikia mahali pakuchagua kuishi peke yako kutoka moyoni utaweza so long as utakuwa umejipanga akilini na nafsini mwako.
Hupungukiwi na lolote ukiamua kuishi maisha ya peke yako. Angalia wangapi wapo ndani ya wawili wawili lakini shida mtindo mmoja stress maugomvi kila kukicha, kuibia nje kama kazi. Shosti ni heri tu kuwa mwenyewe huhitaji kununa bila sababu
Naona umedadavua vizuri sana.........Ukishaonja raha na chungu ya kupata wa kucheka nae, kulia nae, kumnunia, kumlalamikia, then inakuwa ngumusana kuwa happily single baadae......loneliness itakuwepo, .....HAPPILY NI KUJILIWAZA TU!Kamanda............aksante sana what you just put down here is what I believe to be the nature of human being ambaye alishawahi kuionja pepo ya mapenzi..............so what I get here ni kuwa that thing ya Living single happly ni kujiliwaza tu.............na kuwa ni kweli sometimes kale kaloneliness kanakuwepo.
Aisee mwanajamiiwan,
Nakumbuka bibi yako alichukua likizo, akasafiri. Alinambia atakuwa kwa mama yangu for two weeks then atakam baki. Nikamwambia aongeze wiki moja (Msisitizo:Mtu hamjaonana mwaka mzima afu ukae naye wiki mbili tu?) Bibi ako akaona logic akakubali. babu yako nkafurahi zangu kwa kuwa nimepata uhuru wa kujifaragua na kina Eliza na bidhaa zao.
Hakuna wa kuniuliza uko wapi.......Mbona umechelewa kurudi........Uko na nani nk nk nk
Wiki moja tu nilimpigia simu arudi ASAP!
Akakuta neti alivyoiacha ndivyo alivyoikuta,
Shuka lile lile,
Viatu vimejaa kila kona,
Soksi nyingine ziko kitandani,
Chup.i ziko chini ya mto.
Aisee kwa mwanaume kuishi bila mwenza Ni NGUMU kama Mamba kuishi nchi kavu.
Nimezungumzia wanaume...kwa wanawake mi sijui bana! Nampigia simu bibi aniambie kwake inakuwaje, then I will be right back!
Haya nigongeeni Senksi kwa hii yuzifuli posti wakati mi narudi kitandani!
Naona unataka kuifanya kuwa Breaking News!Kwa mujibu wa bibi....
Anyway endeleni kuchangia nitawaambieni alichonambia baadaye.
Mjukuu........Mtiifu.
Inspector anasema yule dada wa gazeti la Bang amefafanua maana ya kuishi happily single bila that Jerk? Amesema kama Pillow inatumika kwa design gani? (samahani kama nimeingilia mjadala) Will be back!@!
confusing how?
do you know that some people cant be single because of
high sex drive?they need it everyday almost....
so these type of people once they find a partner who is really good in bed
they put up with whatever abuse or mistreatment they will receive....its a fact..
Nimeipenda hii
Alitendwa na Ma-jerk mawili..........yani yeye alikuwa anajiingiza kwa zem Jerks tu!!hivi mj1 samahani kidogo,
DADA WA KWENYE GAZETI LA BANG alieleza kisa na mkasa cha kuamua kuishi single?
I am Happily living with my compatible partner!!Aisee samahanini.....who is happily single here....and who is happily married here....
I am Happily living with my compatible partner!!
Aisee samahanini.....who is happily single here....and who is happily married here....