Pamoja na kuwapokea airport na kuwapa korosho waaaapi ni malalamiko tu

Pamoja na kuwapokea airport na kuwapa korosho waaaapi ni malalamiko tu

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Kocha wao anakuambia kuanzia airport walikuwa treated badly, kumbe simba walienda kuwapokea na begi la korosho kabisa kama zawadi wakakuta basi na mini van zote wakakataaa kabisa wakapewa ushauri kwamba wachukue hotel karibu na mjini wao wakaamua kwenda Ramada kilomita za kutosha toka kwa mkapa

Usiku huohuo Hamis kisiwa afisa wa simba na balozi msaidizi wa ubalozi wa afrika kusini waliwasindikiza hadi Ramada hotel sijui ni kunduchi kule?

Siku ya mazoezi waka stuck kwenye traffic jamaa akalalamika walipewa pikipiki moja ya escort ni hujuma za simba..siku hiyo kwenye mlango wakapasua mayai yaliyoandikwa kiarabu

Siku ya mechi wakakataa kutumia mlango wa kawaida wakaingia kwa nguvu mlango wa media wanaoutumia makanjanja yetu , hiyo clip ya mvutano imesambaa south africa kwamba walikuwa wananyanyaswa na simba uwanjani...

Screenshot 2022-04-20 at 10.44.22.png
 
ASEC MIMOSAH WALIMSHUKURU LAKINI ila jana wakati akiongea na makanjanja anajifanya ana nia nzuri na simba, haihitaji kuwa genius kujua nani aliwaambia orlando wasiingilie mlango wa kawaida na wavunje mayai yaliyoandikwa kiarabu..wanadhani hizi fitna wanazofanya hazitawarudia waliona mfano mdogo tu kwa rivers utd kilichotokea hapa na kule Nigeria
Aliwaandikia kwa kiswahili kumbe ni waswahil wale jamaa?
 
Back
Top Bottom