Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM niijuayo ni ile iliyokuwa inawatumia wazee wake kama hazina. Tusijidanganye mkuu Pascal kuwa hii inayoita watangulizi wake wapumbavu au wanawashwa kuwa ndio ileile ccm tuijuayo. No hii ni ccm nyingine kabisa.Mkuu Chakaza, CCM unaijua au
unaisikia tuu?. Unaujua utaratibu wa CCM kwa rais aliyemadarakani kipindi cha kwanza?. Anyway kujifurahisha ruksa.
P
Are you for real! Huzijui?
Kama huzijui, bila shaka hata za Tundu Lissu hizijui, ndio maana ukaishia kutoa mipasho kama hii badala ya kumpa jibu huyo aliyeuliza kazi alizofanya Tundu Lissu; ambazo zipo nyingi na zinajulikana.
chief lotalosa yembeeTeh huyu Lotayesa nilikuwa napenda lile zee la bao la mkono lilivyokuwa linatangaza matokeo ya kura
Anavyo tamka kwa madaha
Ni sehemu gani nimekupangia ujibu nini?Huyo niliyemjibu hakuwa anauliza bali alikuwa anakejeli, hivyo nimempa jibu kulingana na kejeli yake. Ina maana hajui kwamba Lissu ni mbunge, au ubunge sio kazi? Hajui kuwa Lissu ni wakili? Kalamu1 ww sio mwalimu wangu unipangie kipi au nijibu vipi hapa jukwaani, ww pia maswali yake umeyaona, ungeweza kumjibu badala ya kunielekeza mimi nimjibu utakavyo ww au yeye. Hapa niko kwa utashi wangu na ninachangia nipendavyo na sio utakavyo ww. Pls don't lecture me since I don't need your consultation.
Wee unazungumzia ile CCM zilipendwa, ile CCM ya Ujamaa na kujitegemea, ile CCM ya Azimio la Arusha yenye kuheshimu utu na wazee, CCM ile ilikufa na Nyerere, Azimio la Arusha, limezikwa.CCM niijuayo ni ile iliyokuwa inawatumia wazee wake kama hazina. Tusijidanganye mkuu Pascal kuwa hii inayoita watangulizi wake wapumbavu au wanawashwa kuwa ndio ileile ccm tuijuayo. No hii ni ccm nyingine kabisa.
sasa lowasa si ajapita, na karudi huko lumumba, na mwenyekit wenu kampokea, nashangaa mnacholalama,, Lowasa hakufaa, magufuli anaefaa simumchague tena 2020Magufuli anachangamoto nyingi, ila Lowasa lingekuwa tatizo kubwa zaidi kwa nchi yetu...
Ni sehemu gani nimekupangia ujibu nini?
Mimi nime'react' tu kwa hayo maneno uliyoandika hapo. Sasa huoni kwamba unataka kuninyima uhuru wa kujibu ninayoyasoma toka kwa mchangiaji yeyote humu JF?
Niogope kusoma na kuchangia mawazo juu ya ninayoyasoma kwa kuogopa kuitwa 'mwalimu'?
It is okay zikitumika hizi 'lugha' kama zinastahiri kutumika hapo zinapotumika, hili halinipi shida hata kidogo.Sikupangii cha kuchangia hapa jukwaani, uchangie usichangie is none of my business, lakini ikiwa nakuheshimu ukaanza kinichomekea lugha za kibazazi, nitavua kofia ya heshima kwako na nitakupa lugha za shombo mpaka uchanganyikiwe.
It is okay zikitumika hizi 'lugha' kama zinastahiri kutumika hapo zinapotumika, hili halinipi shida hata kidogo.
Nitapima nilichokiandika, na kama kuna tatizo nitajitahidi kurekebisha. Kama ni swala la kupishana tu mawazo...'I will stand my ground'.
Hivi kule nani atagombea wenye nia ni wengiHahahahahaaa Unamuogpasana Lissu hata kumtaja tu unatetemeka. Najua unamkubali ila sasa kumtaja mbele ya ccm wenzako watasema.unamhujum rais....hahahaaa
Nadhani tatizo linaanzia hapo penye "stupid questions" zinapojibiwa na kuongezewa na ufafanuzi na mifano kuzifanya hizo 'stupid questions' zisionekane kuwa ni 'stupid' kivile.Sina tatizo la kupishana mawazo pls kwani ndio afya ya mijadala usitake kupotosha tafadhali. Nimekuambia ww sio wa kunichomekea lugha za kibazazi na wala sio wa kunipa muongozo nimjibu nani na vipi, kwani hayo maswali yalikuwa public, you could answer as well, instead of showing me how to respond to those stupid questions.
Zitoo naye ni Mwanasiasa ujueYangu kwa zitto hili kukataa dhurma na masemango
Hata zitto ni dhaifu?Mbona umemshindanisha na watu dhaifu? Ina maana kule CHADEMA hukuona majembe?
Kila mtu n.a. mtazamo wakeHivi Kuna mtu ambaye anatumia ubongo wake sawa sawa anaweza kuchagua tofauti na Magufuli kwenye orodha hiyo?
Ndo nani maana huyu anatajwa sanaMie nitamchagua @Strainer
Kuna ambao hata ufanye nini, wao, ni MagufuliMimi nitaungana na watanzania wengi kutopiga kura hadi itakapopatikana katiba mpya.
Katika muktadha huu ambao nguvu ya CCM ni mchanganyiko wa CCM+POLISI +VYOMBO VINGINE VYA DOLA, kushiriki uchaguzi ni sawa na kulima nafaka kwenye hifadhi ya wanyama pori.