britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
- Thread starter
- #81
HawatabirikiChadema atasimama Lisu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HawatabirikiChadema atasimama Lisu
Usishangae Lissu anafanyiwa hujuma hasigombeeKwa kweli hao uliomliganisha nao, kura yangu itaenda kwa JPM labda umuweke Lissu
Will the environment allow?..kwangu mimi kumchagua Magufuli ni sawa na kukubali ukatili, ubaguzi, na upendeleo, uendelee.
..hatuwezi kuwa na nchi ambayo haina haki sawa kwa wananchi wote. hakuna haki sawa kisiasi, kiuchumi, na kijamii.
,,kwa mtizamo wangu Zitto Kabwe will make a much better President than Magufuli.
Mapungufu ya Magufuli hakuna mtanzania mwenye akili timamu ambaye hayajuiMkuu Britannica, heading yako haijakaa sawa, na contents pia haijakaa sawa.
Heading yako hii
"Pamoja na Mapungufu ya Magufuli akisimama mwaka 2020 na wafuatao ntamchagua tena", hillo neno "akisimama" hapo ulipoliweka, lina canotation meaning ya possibility ya
kama akisimama as if anaweza asisimame, wakati ukweli ni kuwa kwa mujibu wa taratibu za CCM, rais Magufuli ndie mgombea pekee wa CCM kwa 2020, hivyo hiyo akisimama haikupaswa kuwa hapo ulipoiweka.
Najua nia yako ni kumtumia rais Magufuli as comparator kumlinganisha na hao uliowataja, yaani akisimama na wafuatao, heading yako ingepaswa iwe
"Pamoja na Mapungufu ya Magufuli, mwaka 2020 akisisimama na wafuatao, ntamchagua tena".
Sasa nije kwenye contents
Kwavile jina la Magufuli limetanguliwa na pre qualifications "mapungufu" neno hilo ni pre qualifier, ulipaswa kwenye content uyaseme hayo mapungufu.
Mwisho ni my take.
Kwa my honest opinion, hujamtendea haki Zitto kwenye u serious.
Kwangu uchaguzi wa 2020, Zitto ndie the one and only mgombea mwenye impact kama akisimama na Magufuli.
Ni kwa vile the political playing field ya the game of politics kwenye siasa zetu is not level, kwenye uchaguzi wetu wa rais ni kama kugombea kisu cha makali kuwili, huku mgombea mmoja ameshika kwenye mpini, mwingine kwenye makali kuwili.
Mgombea mmoja anazunguka na full state backing ya a sitting president na ving'ora, media, state campaign budget, msafara wa state cars, huku mwingine with nothing, halafu watu hawa washindane, unategemea nini?.
Wenzetu nchi za Scandinavian na Nordic, wagombea urais wao lazima wafanane, hata kama alikuwa a sitting president anayegombea kwa mara ya pili, ile presidential status yake inakuwa scraped yote isipokuwa ulinzi, hakuna msafara, hakuna kumtumia state funds na wagombea wingine wote wa urais wanapatiwa state security na vyama kupewa ceiling ya campaign spending ili kutengeneza level playing field, wagombea wote wafanane, watu washindanishe sera na kujieleza.
Just imagine Zitto asimame na Magufuli, halafu Zitto naye apewe vitu vyote kama Magufuli, washindanishe sera na kujieleza, kiukweli kabisa, Magufuli atakuwa na kazi, kitakacho mfanya Magufuli ambwage Zitto ni his good track record ya deliveries, Flyovers, ndege, SGR, Stigler, Elimu bure, Afya, maji, maendeleo ya kuonekanika, Tanzania ya viwanda, etc, wakati Zitto atakuwa hana national deliveries zozote to compare, ndio maana nimeshauri humu kwa 2020, Tanzania hatuna haja ya kufanya uchaguzi wa rais, Magufuli atosha.
Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Wanabodi. Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?. Kwa maoni yangu, uchaguzi wa...www.jamiiforums.com
P
HakitabilikiKile chama kingine hakijaandaa mgombea...
Membe ama Nape wanaweza kupewa nafasi kugombea kule
KabisaEeenh, Britannica, umenichekesha kweli ulivyopiga chenga!
Haya Bhwanah. Naona kuna maendeleo kidogo kama sio ile tabia ya wana CCM tunayoijua.
Seriously, huenda nami ningekuunga mkono kwa wale "wasiotajwa"; lakini nisingemwacha Zitto nje ya serikali hiyo mpya katika wadhifa anaostahili.
Ukiwaacha hao 'wasiotajwa', CCM ya Magufuli bila ya kiapo cha kuacha kabisa haya tuliyoshuhudia miaka minne hii, itakuwa ni kuliumiza taifa hili na kuliacha na majeraha ya kudumu.
Yasingekuwa haya madudu, sioni sababu ambayo ingemzuia kuchaguliwa hata bila kufanya kampeni.
Sasa sijui ni kwa nini aliamua kuendesha mambo yake jinsi hii alivyoiendesha katika ngwe hii. Hapakuwa na sababu kabisa ya kuyafanya hayo madudu kwani mengine anayofanya yangemletea heshima kubwa zaidi kwa watu.
Kwasababu ndo tumeyaonaKweli kabisa, maneno pamoja na mapungufu yake hayakuwa na haja ya kuwepo hapo, mbona wagombea wengine hajasema hivyo
Mkuu ikipendaroho, hapana simaanishi hivyo, watu wakiishakuwa wachumba, huu ndio uthibitisho wa upendo, ndoa ni muhimu, ila kwa vile watoto wanahitaji matunzo, elimu etc, nawashauri wafunge tuu ndoa wapate cheti na wasifanye sherehe na kutumia pesa bure wakati zinahitajika zaidi kwa watoto.Alichosema Pascal ni sawa na kuwaambia wachumba kwa vile washaonesha kuwa wanaupendo wa dhati, na wameshazaa watoto kadhaa basi hakuna haja ya wao kufunga ndoa!
Mkuu Tindo, kumhusu Magufuli, tangu 2014 niliishasema kila kitu hapaLabda kama unazungumzia kuwa tu na rais na sio rais bora. Kama tunataka rais bora ni hakika Magufuli sio na hatakaa awe rais bora. Huenda Zito akawa rais bora kwani una ufahamu unaowiana wa mambo ya uchumi wa kitaifa na kimataifa, siasa, kijamii ni. Ni muumini wa demokrasia. Sifa kubwa ya Magufuli ni kuamini katika miundo mbinu na kuisimamia, lakini hana ufahamu wa uchumi, siasa zote za kitaifa wala kimataifa, hawezi wala haimudu demokrasia. Kwa ujumla anaendesha nchi kizamani katika dunia ya kisasa.
Mkuu Tindo, kumhusu Magufuli, tangu 2014 niliishasema kila kitu hapa
hivyo there is no excuse kuwa hatukujua sio rais bora.
Ila kuna kitu kizuri kuhusu human beings, they are not static, they are dynamic, and hence they change with time. Ni kweli rais Magufuli alipoingia, he wasn't presidential material, huyu ni technocrat, but as times goes, he is changing little by little, nakuhakikishia, pamoja na yote, this man is changing for the better, kufikia 2025, wakati anaondoka, he might be the best president ever, this country had ever had.
P
Real changes is a gradual process, it takes time, and takes place little by little.Magufuli sio bora na hatakaa awe bora japo atakuwa amesimamia miundombinu mingi mpaka wakati anatoka. Wazungu wa Afrika kusini wameleta maendeleo makubwa sana huko SA, je umesikia popote wakisifiwa ni viongozi bora? Kujenga kundi la kumsifia hakumfanyi kuwa bora. Huu ni mwaka wa nne bado hajajua kuna kupingwa, anaishia kudukua na kusambaza mitazamo ya wasiomkubali hapo unategemea abadilike kuwa bora?
Ikitokea Magufuli akasimama na wafuatao,
1.Magufuli - CCM
2.Zitto Kabwe - ACT Wazalendo
3.CHAUMA- Hasim Rungwe
4.CUF - Ibrahim Lipumba
5.Dovutwa
6.Chief Lotalosa yembe
Sina budi kumpa kura yangu Magufuli, kwakuwa aliosimama nao hawana u serious wowote,
Pia itategemea Chadema atasimama nani,
Simba akizidiwa ula Nyasi
Britannica
kilichosababisha Watanzania tuwe na huyo kiongozi unayemshabikia ni kutokana na sisi kuwemo kwenye group hili hapa chini.Ikitokea Magufuli akasimama na wafuatao,
1.Magufuli - CCM
2.Zitto Kabwe - ACT Wazalendo
3.CHAUMA- Hasim Rungwe
4.CUF - Ibrahim Lipumba
5.Dovutwa
6.Chief Lotalosa yembe
Sina budi kumpa kura yangu Magufuli, kwakuwa aliosimama nao hawana u serious wowote,
Pia itategemea Chadema atasimama nani,
Simba akizidiwa ula Nyasi
Britannica
Yaani ktk siku zote Leo umeongea bonge la pumba, hata kama nyumba zilivunjwa hata kama watumishi hawapandishiwa mishahara Kwa miaka minne lakn siwezi kichagua kati ya hao...Vipi kuhus Shangazi zako , wajomba zako, wastaafu , waliovunjiwa nyumba wanaoisoma namba mwaka wa nne huu, mara hii umeshasahu?
Mnapenda kula vilivyo ozaKile chama kingine hakijaandaa mgombea...
Membe ama Nape wanaweza kupewa nafasi kugombea kule
Nape no amejirudi, membe hawez hama ccmKile chama kingine hakijaandaa mgombea...
Membe ama Nape wanaweza kupewa nafasi kugombea kule
DuhKile chama kingine hakijaandaa mgombea...
Membe ama Nape wanaweza kupewa nafasi kugombea kule
Hahahahahaaa Unamuogpasana Lissu hata kumtaja tu unatetemeka. Najua unamkubali ila sasa kumtaja mbele ya ccm wenzako watasema.unamhujum rais....hahahaaa