Pamoja na Mary Chatanda kumpigia debe Kalemani ili arudi bungeni wananchi wa Chato wameapa kutomchagua tena. Hawamtaki Kalemani

Pamoja na Mary Chatanda kumpigia debe Kalemani ili arudi bungeni wananchi wa Chato wameapa kutomchagua tena. Hawamtaki Kalemani

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Nimepigiwa simu na mdau.

Kuwa huyu mama alikuwepo Chato jana. Mbaya zaidi anasindikizwa na msafara ya polisi kana kwamba ni kiongozi wa serikali.

Baada ya Kalemani kumzawadia zawadi ya ng'ombe na mafuta ya Alizeti huyu mama na kiswahili chake cha Tanga akaanza kumpigia debe Kalemani.

Kuwa Kalemani ni mzoefu hivyo wananchi wamrudishe Bungeni.

Baada ya mkutano wananchi wakaanza kumchambua huyu mama kuwa amebugi. Maana hawamtaki Kalemani na hajawahi kuwasaidia. Ni mwendazake tu ndio aliisaidia Chato.

Hakuna mradi wowote ambao Kalemani aliowasaidia wanaChato zaidi ya juhudi za mwendazake.

Wameapa kumtochamgua kwa udi na uvumba.

Duh...
 
Sasa si umepigiwa cm na mdau moja tu?

Sema huyo mdau ameapa kutompigia kura kailemani asirudi tena bungeni. wengine waachwe waamue wenyewe.

Hao wengine umewatoa wapi, acheni mambo ya chuki binafsi kuzifanya chuki za jumla kwa wote dhidi ya fulani.

Hizi ni hisia za hovyo na zimechelewesha mambo mengi sana sana kwenda mbele na usirudie tena.
 
sasa si umepigiwa cm na mdau moja tu?

sema huyo mdau ameapa
kutompigia kura kailemani asirudi tena bungeni. wengine waachwe waamue wenyewe.

hao wengine umewatoa wapi, acheni mambo ya chuki binafsi kuzifanya chuki za jumla kwa wote dhidi ya fulani.

Hizi ni hisia za hovyo na zimechelewesha mambo mengi sana sana kwenda mbele...
na usirudie tena.....
Mdau mmoja kanipa ujumbe wa wanaChato
 
Nimepigiwa simu na mdau.

Kuwa huyu mama alikuwepo Chato jana. Mbaya zaidi anasindikizwa na msafara ya polisi kana kwamba ni kiongozi wa serikali.

Baada ya Kalemani kumzawadia zawadi ya ng'ombe na mafuta ya Alizeti huyu mama na kiswahili chake cha Tanga akaanza kumpigia debe Kalemani.

Kuwa Kalemani ni mzoefu hivyo wananchi wamrudishe Bungeni.

Baada ya mkutano wananchi wakaanza kumchambua huyu mama kuwa amebugi. Maana hawamtaki Kalemani na hajawahi kuwasaidia. Ni mwendazake tu ndio aliisaidia Chato.

Hakuna mradi wowote ambao Kalemani aliowasaidia wanaChato zaidi ya juhudi za mwendazake.

Wameapa kumtochamgua kwa udi na uvumba.

Duh...
Watu wa huku chato hatumtaki kalemani
 
Nimepigiwa simu na mdau.

Kuwa huyu mama alikuwepo Chato jana. Mbaya zaidi anasindikizwa na msafara ya polisi kana kwamba ni kiongozi wa serikali.

Baada ya Kalemani kumzawadia zawadi ya ng'ombe na mafuta ya Alizeti huyu mama na kiswahili chake cha Tanga akaanza kumpigia debe Kalemani.

Kuwa Kalemani ni mzoefu hivyo wananchi wamrudishe Bungeni.

Baada ya mkutano wananchi wakaanza kumchambua huyu mama kuwa amebugi. Maana hawamtaki Kalemani na hajawahi kuwasaidia. Ni mwendazake tu ndio aliisaidia Chato.

Hakuna mradi wowote ambao Kalemani aliowasaidia wanaChato zaidi ya juhudi za mwendazake.

Wameapa kumtochamgua kwa udi na uvumba.

Duh...
Kalemani ni mbinafsi hafai kabisa.
 
Kalemani ni mbinafsi hafai kabisa.
Suala sio Kalemani suala ni ni nyie wezi mnaojiita chawa wa mama mnavizia vyeo vya mgawo. Kalemani hakubali rushwa wala kulazimishwa kutekeleza kilicho kinyume na utaratibu. kwa hiyo mnataka kuweaka pandikizi gani hapo Chatoi ambako mmepatenga? Kalemani ana unguvu zipi za kumwezesha kuwasaidia wananchi kama mlimnyang'anya uwaziri na nishati ambao ndio alikuwa anasimamia vizuri kwa faida ya watu wa chini?
 
Nimepigiwa simu na mdau.

Kuwa huyu mama alikuwepo Chato jana. Mbaya zaidi anasindikizwa na msafara ya polisi kana kwamba ni kiongozi wa serikali.

Baada ya Kalemani kumzawadia zawadi ya ng'ombe na mafuta ya Alizeti huyu mama na kiswahili chake cha Tanga akaanza kumpigia debe Kalemani.

Kuwa Kalemani ni mzoefu hivyo wananchi wamrudishe Bungeni.

Baada ya mkutano wananchi wakaanza kumchambua huyu mama kuwa amebugi. Maana hawamtaki Kalemani na hajawahi kuwasaidia. Ni mwendazake tu ndio aliisaidia Chato.

Hakuna mradi wowote ambao Kalemani aliowasaidia wanaChato zaidi ya juhudi za mwendazake.

Wameapa kumtochamgua kwa udi na uvumba.

Duh...
Kiongozi wa chama Tawala ni mkubwa zaidi ya viongozi wa Serikali.Kwa hiyo yeye anastahili anayofanyiwa.
 
Nimepigiwa simu na mdau.

Kuwa huyu mama alikuwepo Chato jana. Mbaya zaidi anasindikizwa na msafara ya polisi kana kwamba ni kiongozi wa serikali.

Baada ya Kalemani kumzawadia zawadi ya ng'ombe na mafuta ya Alizeti huyu mama na kiswahili chake cha Tanga akaanza kumpigia debe Kalemani.

Kuwa Kalemani ni mzoefu hivyo wananchi wamrudishe Bungeni.

Baada ya mkutano wananchi wakaanza kumchambua huyu mama kuwa amebugi. Maana hawamtaki Kalemani na hajawahi kuwasaidia. Ni mwendazake tu ndio aliisaidia Chato.

Hakuna mradi wowote ambao Kalemani aliowasaidia wanaChato zaidi ya juhudi za mwendazake.

Wameapa kumtochamgua kwa udi na uvumba.

Duh...
Duuh anakazi,2025!
 
Back
Top Bottom