Pamoja na matokeo ya jana ila Simba bado atafuzu kwenda robo fainali

Ndiwooooooooooh!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vipers juzi walikuwa pungufu na kukumbusha kijana Halafu hata nae Vipers anawaza kama wewe kwani ikiwa ww umekula kwako tatu ana amini wewe ni kibonde kwenye hili group.
Dah Sheikh Yahaya rudi umalizie utabiri wako.
 
Tuma salamu kwa ndugu zako watatu wa karibu.
 
Nko nafanya mpango uende pale Havana university of intelligence ukafundishe hesabu za probability kwenye uwanja wa medani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…